maghambo619
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,537
- 1,360
Kua na kiongozi kama Lissu kwa nchi yetu hii ni bahati kwani wapo wasomi wengi tu tena manguli wa Sheria lakini hawana ujasiri kama aliokuanao lissu!
Anyways wanaotoka povu na watoke tu ila huo ndio ukweli!
Anyways wanaotoka povu na watoke tu ila huo ndio ukweli!