Enzi za utawala wa Mwinyi miaka ya 80, mwanasiasa machachari Joseph Mtikila alikuwa akimuita Rais Mwinyi ni ‘TX’ kutoka Zanzibar na aliwahi kumwambia arudi mwenyewe Zanzibar kabla hajarudishwa kwenye jeneza, hii ilikuwa kwenye mkutano wa hadhara viwanja vya Jangwani kwa waliokuwepo wakati huo watakumbuka.
Kutokana na matamshi hayo, hakufunguliwa kesi yeyote wala kuitwa kituo cha polisi wala kuitwa mhaini.
Kwani sheria za uhaini hazikuwepo, nini kilitumika BUSARA. Ingekuwa leo enzi za Samia ndio katamka hayo maneno nafikiri angenyongwa kabisa hadi kufa.
Sheria na Busara ni mapacha.
Kutokana na matamshi hayo, hakufunguliwa kesi yeyote wala kuitwa kituo cha polisi wala kuitwa mhaini.
Kwani sheria za uhaini hazikuwepo, nini kilitumika BUSARA. Ingekuwa leo enzi za Samia ndio katamka hayo maneno nafikiri angenyongwa kabisa hadi kufa.
Sheria na Busara ni mapacha.