Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

ukiwa na mtu amabaye mnakuwa actively mnashiriki nae sex jua fika mtashare mambo mengi katika ulimengu wa hisia na kiroho pia hata kama mtakuwa hampo karibu kwa wakati huo. Hii ni kwa sababu SEX ni ibada kamili kabisa, sex ni mkataba ambao miongoni mwa makubaliano ya huo mkataba ni kuwa connected. Hii ndio maana inakuwia ngumu kumsahau na kumtoa akilini mtu ambaye mlikuwa nae active kwenye sex hata kama ilikuwa zamani na mna muda hamjaonana, bado ataendelea kuwa kwenye mind yako.

MIMI naona ni mawazo ya kibikra haya. au mawazo ya mtu mwenye ukame. kabla mtu hajaingia kwenye ulimwengu huu analishwaga maneno ya namna hii.

pia, sababu ya wewe kutomsahau uliyefanya naye si kigezo cha kuita sex "mkataba".

mimi nakumbuka vizuri walimu waliokuwa wananidunda nikiwa shule. na nimepita shule nyiingi!! je, kupigwa kwangu ilikuwa kitu kitakatifu? mkataba na walimu?

kuna watu huko duniani sex ni kama daladala. kila siku wanazipanda tena tofauti. Inafika point mtu ANASAHAU kuwa alilala na huyo dada aliyekutana naye Maisha na kufanya one night stand, hadi anamtongoza upya!!!!!!!!!!
 
housegirl ukisoma katika maelezo yangu sijazungumzia kuhusu zile ishu one nyt stand. Nmezungumzia mtu ambaye mlikuwa na strong connection,maana katika strong connection kunakuwa na strong bond ambayo huweza last for a long period of time. Jaribu kusoma maelezo yangu utaelewa vema.swala lako la kuhusu walimu ni ishu nyingine haifanyi hoja yangu isiwe na mashiko.
 
Last edited by a moderator:
housegirl ukisoma katika maelezo yangu sijazungumzia kuhusu zile ishu one nyt stand. Nmezungumzia mtu ambaye mlikuwa na strong connection,maana katika strong connection kunakuwa na strong bond ambayo huweza last for a long period of time. Jaribu kusoma maelezo yangu utaelewa vema.swala lako la kuhusu walimu ni ishu nyingine haifanyi hoja yangu isiwe na mashiko.

a bond is NOT only brought by sex.

mzazi na mtoto. best friends. or any relationship really, kama mwalimu na mwanafunzi.

kuwa na mawasiliano ya muda mrefu na mtu kunatosha kutengeneza a very a strong bond.

nimesoma, me naona tu unalazimisha kuonyesha kuwa sex ni kitu cha ajabu sana, kitakatifu.

you are overrating it.
 
Last edited by a moderator:
a bond is NOT only brought by sex.

mzazi na mtoto. best friends. or any relationship really, kama mwalimu na mwanafunzi.

kuwa na mawasiliano ya muda mrefu na mtu kunatosha kutengeneza a very a strong bond.

nimesoma, me naona tu unalazimisha kuonyesha kuwa sex ni kitu cha ajabu sana, kitakatifu.

you are overrating it.

Sija overate kitu, nimejaribu nukuu baadhi ya maandiko pia kuonyesha hali ilivyo, ishu nyingi hufanywa nje ya mwili bt sex sivyo .Bond kulingana na blood relationship ipo pia, ila kwenye uzi huu nimeleta awareness.
 
Hii mada bado ina utata sana kwani sio kwamba ina uhakika kwa asimia kubwa. Hapana nayo ina utata wake kwani Sex ni tendo ambalo mwanadamu mpaka leo anajaribu kujiuliza lengo lake ni nini.

Kwa watu wanaoamini Occult wanaamini kuwa Sex ni gate of eden. Wanaamini kuwa Sex ni muunganiko wa mwanadamu yaani mwanamke na mwanaume. Pia wanaamini Sex ni uumbaji kwani hupelekea uumbaji wa maisha mapya ya mtoto. Occult wamefika mbali kwa kufundisha kuwa Orgasm ni tofauti na sex. Orgasm ni hisia inayopatikana katika sex. WanaOccult wamegawanyika hapa.


  • Kuna wanaoamini Sex ndio msingi mkuu
  • Kuna wanaoamini Orgasm ndio msingi mkuu na sex sio lazima.

Kwani Orgasm wanaamini inaamsha energy ya kujitambua mwilini.

Lakini mimi baada ya kujifunza sana, nimekuja kukataa kabisa kuwa Sex ni muhimu katika kujitambua. No Sex sio muhimu kwani wanadamu wengi waliokuja kujitambua waliwahi kujitenga na mahusiano na mwanamke kwa kipindi fulani au katika maisha yao yote. Hii ni uthibitisho kuwa sex sio gate to soul bali kuachana na desires ndio gates to soul. Sex ni njia ya kuweka uhai mpya kwa kuleta uhai tena kwenye hali ya uanadamu lakini pia sex ni kifungo ambacho mwanadamu anajifunga ili asijitambue. Ni kama ni njia ya pekee katika kuleta uhai lakini pia ni njia ya kukupoteza pia. Mfano mzuri na wanafunzi wa Yesu waliacha kuendelea na mahusiano na wake zao na kushikilia imani kwa kujitambua. Lengo kuu ni kujitambua kwani unapoishi maisha yasiyo na tamaa, desires, lust na ujinga unaongeza kujitambua na nguvu ya kiimani. Pia sex inapelekea utokwaji wa mbegu za mwanadamu. Wanadamu wengi wanafurahia sex na wanaamini kuwa ni raha lakini hawajui kuwa uwezo wa tone moja la mbegu inayotoka ni sawa na matone 40 ya damu. Kwa maana kuwa mbegu ni aina ya majimaji ya mwili ambayo dhamani kubwa ya uhai imewekwa. Mtu anapotoa mbegu kila saa anapelekea mwili wake kulazimika kujinyima na kutengeneza mbegu kwanza lakini mtu asiyetoa mbegu zake mara kwa mara ile nguvu ya mwili kutengeneza mbegu inapungua na mwili unatengeneza nguvu ya kiroho, kimwili na kiakili. Na hata utafiti wa sasa unasema kuwa mbegu zisipotumika mwili unaziwekeza katika maendeleo mengine ya mwili. Hata ukitaka kujaribu kaa bila sex kwa muda mrefu na siku ukiingia kwenye sex unahisi mchovu na emotional imbalance.

Cha msingi ni kujitambua. Sex sio kitu cha kusema kitumike kuzidisha, na kwa ambao hawana muda na sex au wanadhiri nao wapo sawa kabisa.



Nimependa
 
Ni kweli sex inaharibu hata muonekano wako endapo ukizidisha, maana inanitokea sana.
Mimi nikizidisha sex labda mara 3 kwa week au 4, nakuwa na mikosi mikosi ya kila aina na pia watu wanakuwa hawanipendi kama siku zingine, pia nakifanya meditation sioni mabadiliko yoyote hadi nashangaa haya mambo yanakuwajekuwaje.

Hata mm nimekutana na hali hii, na wachawi wanaelewa sana jambo hilo, wakiona kuwa umefanya sex na mtu ambae kiroho yuko hovyohovyo wanajua kuwa umejikaanga mwenyewe kwani hapo wanakuwa na uwezo wa kupitisha roho zao za mabalaa kupitia hizo bond ulizoweka!
 
Hata mm nimekutana na hali hii, na wachawi wanaelewa sana jambo hilo, wakiona kuwa umefanya sex na mtu ambae kiroho yuko hovyohovyo wanajua kuwa umejikaanga mwenyewe kwani hapo wanakuwa na uwezo wa kupitisha roho zao za mabalaa kupitia hizo bond ulizoweka!

Aisee! Hii account yangu ilijifunga ndio nikafungua hii.

Hapo sio kwamba ni wachawi wanakufanyia hivyo.
Ni wewe na tendo ulilofanya.
Tangia nakua kuna vitu vingi nimejifunza kutokana na hili tendo, iwe umelala na mwanamke au umepiga punyeto.
Hii hali nimeiishi kwa ushahidi kabisa kwa kipindi kirefu pasipo kujua. Kuna hata mambo watu wanasema ni uchawi lakini kwa utafiti nilioufanya kwenye mwili wangu nikajua kumbe hata mtu anaweza kujiloga mwenyewe.
 
Nzurije. Kwamba unakubali sex ni nzuri kwenye mambo ya kiroho?

sijamaanisha hivo aretasludovick ila sex ni jambo la kupunguza au kuepukana nalo kama utaweza,
kama nikipata mda nitakuelezea sababu zilizofanya waalim wa zamani wa kiroho wasioe au kuolewa mfano yesu,pia nitakuelezea kidogo kuhusu budhist,sababu za masisita na mapadre kutokuolewa au kuoa, mpango wa kuenezwa kwa kasi filamu za ngono. n.k
 
Last edited by a moderator:
Aisee! Hii account yangu ilijifunga ndio nikafungua hii.

Hapo sio kwamba ni wachawi wanakufanyia hivyo.
Ni wewe na tendo ulilofanya.
Tangia nakua kuna vitu vingi nimejifunza kutokana na hili tendo, iwe umelala na mwanamke au umepiga punyeto.
Hii hali nimeiishi kwa ushahidi kabisa kwa kipindi kirefu pasipo kujua. Kuna hata mambo watu wanasema ni uchawi lakini kwa utafiti nilioufanya kwenye mwili wangu nikajua kumbe hata mtu anaweza kujiloga mwenyewe.

mmmmh??++
 
sijamaanisha hivo aretasludovick ila sex ni jambo la kupunguza au kuepukana nalo kama utaweza,
kama nikipata mda nitakuelezea sababu zilizofanya waalim wa zamani wa kiroho wasioe au kuolewa mfano yesu,pia nitakuelezea kidogo kuhusu budhist,sababu za masisita na mapadre kutokuolewa au kuoa, mpango wa kuenezwa kwa kasi filamu za ngono. n.k

Ok. Kwa hapo tupo pamoja kabisa.
 
Last edited by a moderator:
hapa Jimena hoja kubwa ni kuwa sex inafanya exchange ya power from one person to another(and vice versa). sema kiswahili kilichotumika hapa ndo kitafanya wengi nawewe pia msiweze kumuelewa.

Nakubaliana na hilo asilimia zote. Kuna watu ukilala nao utajuta. Na kuna ambao ukilala nao mambo yanakuwa safi kabisa yani hata Issue ngumu zote zinafanyika kwa urahisi.
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na hilo asilimia zote. Kuna watu ukilala nao utajuta. Na kuna ambao ukilala nao mambo yanakuwa safi kabisa yani hata Issue ngumu zote zinafanyika kwa urahisi.

Correctly... .. . sema hapa mkuu kaielezea sio kwa undani sana, ila najua wataalam mpomtakuja kueleza zaidi#
 
During sex your souls fuse to generate very powerfull energy more than atomic bomb.You enter into trance condition which is soul realisation.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom