Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

20PROFF

JF-Expert Member
Nov 5, 2013
7,972
6,764
Habari zenu wanajamvi,

kama title ya topic ilivyo kuwa SEX IS A GATE WAY TO YOUR SOUL, kwamba tendo la ndoa (kwa wanandoa) / zinaa ( kwa wasio wanandoa) huweza kuwa njia huweza kuwa njia au mlango wa kuifikia roho yako kwa namna hama nyingine.

Watu wawili wakiwa wanashiriki sex huwa si tena wawili wanakuwa ungana na kuwa mwili mmoja kabisa, hii itawaunganisha kimwili,kiakili/kihisia na kiroho,hili jambo lina siri nzito sana, kwa wale wasoma biblia ukipita
WAEFESO5 ;31-32 inasema [SUP]31 [/SUP] “Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.” [SUP]32 [/SUP] Siri hii takatifu ni kubwa. Sasa ninasema kwa habari ya Kristo na kutaniko .
ukiwa na mtu amabaye mnakuwa actively mnashiriki nae sex jua fika mtashare mambo mengi katika ulimengu wa hisia na kiroho pia hata kama mtakuwa hampo karibu kwa wakati huo. Hii ni kwa sababu SEX ni ibada kamili kabisa, sex ni mkataba ambao miongoni mwa makubaliano ya huo mkataba ni kuwa connected. Hii ndio maana inakuwia ngumu kumsahau na kumtoa akilini mtu ambaye mlikuwa nae active kwenye sex hata kama ilikuwa zamani na mna muda hamjaonana, bado ataendelea kuwa kwenye mind yako.

Nguvu yeyote ya kihisia na kiroho ikiweza kumpata mmoja wenu kutokana na sababu mbalimbali hiwe kutakuwa na maamuz sahihi, kusababbishwa na mwigine inapata upenyo na mwanya wa kuweza kumpata mwenza wake maana ameacha njia ya upenyo na wao wanamkataba wa kuwa mwili mmoja. So kuna wakati badala ya kuhangaika na matatizo yanayo kufika hiwe ni mawazo yasiyoisha, mikosi n.k anza kuhangaika kuondoa ties ulizo funga na wenza wako ni lazima kutakuwa kuna hole imetengenezwa na mmoja kati ya hao uliowahi shiriki nao, bila kuondoa hizo ties utakuwa kila siku unasolve na kutafuta njia za kuwa katika hali but vitu havikomi maana still vinapata njia ya kuja kwako, vunja tie hizo kwanza.

SEX haifanyiw nje ya mwili hufanywa ndani ya mwili, katika kuthibitisha hili ukisoma 1WAKORINTO6;18 inaonyesha kuwa sex hufanywa ndani ya mwili so ina direct impact katika roho yako.

Kumbuka roho na mwili haviwezi tengana hadi kifo kikufike, so connection ambayo umeziweka na uliesex nao huweza kuondoka pale mmoja wenu atakapo fariki, otherwise vunja ties na connection zenu


Kuna watu hujikuta wanatramani kusex au kuwangalia na wanaume wenzao, hata inafikia kiwango mtu kuota ana msodoma mwanaume mwenzie, ukiangalia wew si GAY bt ukicheza utajikuta unafanya kweli , QN,HOW? Kuna reason nyingi zinapeleka watu kutaman mapenzi ya jinsi moja ikiwemo roho za ajabu, sasa kama kuna vibinti ambacho umewahi kushiriki nae amaenza kufanya au kutaman hayo mambo ile roho inayompelekea kufanya hayo inapata na inatafuta upenyo kwako piaa maana kupitia huyo kuna njiaa ya kuja kwako.

NI HAYO NILIYOTAKA KUSHARE NANYI KWA SIKU YA LEO, NAKARIBISHA MICHANGO NA HATA KUREKEBISHWA
 

Attachments

  • 1.jpg
    1.jpg
    7.3 KB · Views: 3,337
  • 2.jpg
    2.jpg
    23.5 KB · Views: 3,354
Mmh, watu "wamenyali" hii mada. Bila shaka umegusa pabaya. Mtu akipiga picha anaona ana msululu wa watu kama 300 aliogegedana nao sasa atawezaje kuvunja hizo ties? Otherwise mada ni nzuri na nimi nakubaliana na wewe kabisa. Lakini tupe mbinu ya kuvunja hizo ties na mtu uliyeshiriki naye hata kama hajafa bado.
 
Mmh, watu "wamenyali" hii mada. Bila shaka umegusa pabaya. Mtu akipiga picha anaona ana msululu wa watu kama 300 aliogegedana nao sasa atawezaje kuvunja hizo ties? Otherwise mada ni nzuri na nimi nakubaliana na wewe kabisa. Lakini tupe mbinu ya kuvunja hizo ties na mtu uliyeshiriki naye hata kama hajafa bado.

Mkuu, hapa kuna njia kadhaa ambazo huweza kuondoa uchafu wa kiroho kulingana na iman ya muhsika.
Kwa Waumin wa dini mbalimbali kutubu ni njia moja wapo ya kujisafisha, ila kuna kuna strong bond ambayo imefanywa it well take nguvu kubwa ya maombezi ili kuweza kuondoa hayo mambo kulingana jinsi imekuathiri na spirit ya namna gani ilitumia hiyo njia kukufikia pia (nimeongelea kuondoa tatizo na kuondoa hizo bond). Kwa waislam sina hakika sana ila naona wanafanyaga visomo n.k ili kuweza kuweka mambo sawa. Wakristu huwa na maombi ya ufunguzi na kuvunja mikataba yote ambayo unaifaham na usio ifahamu, pia ubatizo ambapo ubatizwapo unazika utu wa zaman na kuzaliwa upya.
Sasa kwa wale wasio wadau wa dini hizi wanaweza fanya haya kujisafisha.

Wanaweza tumia:-
1.Maji mengi, wanasema kujiosha kwenye mto au bahari huku ukiwa na lengo na iman ya kujisafisha pia huondoa debris za kiroho na kurestore hali yako.

2.Upepo, hali kadharika.

3. Kutembea bili viatu ,yaani peku peku pia inafanya wew kuground acquired spirit debris.

N.k

N.B HIZI NJIA ZA MWISHO SI MTAALAMU SANA, NA SI KWAMBA ZITAVUNJA TIES ZENU ILA ZITASAFISHA MABALAA ULIYO YAPATA THOU SIO NJIA STRONG SANA.
HAPA NAHISI mshana jr anaweza tolea maelezo zaidi
 
Last edited by a moderator:
It might be true in some ways. Labda ndo maana tunaamrishwa na dini zetu kushiriki tendo la ndoa baada ya ndoa.

Ngoja nifanyie utafiti nitakuja na majibu scientifically, socially and spiritually.

Karibu sana The master tushiriki kuna baadhi ya mistari ya bible hapo unaweza kuanza nayo.
 
Last edited by a moderator:
Hii mada bado ina utata sana kwani sio kwamba ina uhakika kwa asimia kubwa. Hapana nayo ina utata wake kwani Sex ni tendo ambalo mwanadamu mpaka leo anajaribu kujiuliza lengo lake ni nini.

Kwa watu wanaoamini Occult wanaamini kuwa Sex ni gate of eden. Wanaamini kuwa Sex ni muunganiko wa mwanadamu yaani mwanamke na mwanaume. Pia wanaamini Sex ni uumbaji kwani hupelekea uumbaji wa maisha mapya ya mtoto. Occult wamefika mbali kwa kufundisha kuwa Orgasm ni tofauti na sex. Orgasm ni hisia inayopatikana katika sex. WanaOccult wamegawanyika hapa.


  • Kuna wanaoamini Sex ndio msingi mkuu
  • Kuna wanaoamini Orgasm ndio msingi mkuu na sex sio lazima.

Kwani Orgasm wanaamini inaamsha energy ya kujitambua mwilini.

Lakini mimi baada ya kujifunza sana, nimekuja kukataa kabisa kuwa Sex ni muhimu katika kujitambua. No Sex sio muhimu kwani wanadamu wengi waliokuja kujitambua waliwahi kujitenga na mahusiano na mwanamke kwa kipindi fulani au katika maisha yao yote. Hii ni uthibitisho kuwa sex sio gate to soul bali kuachana na desires ndio gates to soul. Sex ni njia ya kuweka uhai mpya kwa kuleta uhai tena kwenye hali ya uanadamu lakini pia sex ni kifungo ambacho mwanadamu anajifunga ili asijitambue. Ni kama ni njia ya pekee katika kuleta uhai lakini pia ni njia ya kukupoteza pia. Mfano mzuri na wanafunzi wa Yesu waliacha kuendelea na mahusiano na wake zao na kushikilia imani kwa kujitambua. Lengo kuu ni kujitambua kwani unapoishi maisha yasiyo na tamaa, desires, lust na ujinga unaongeza kujitambua na nguvu ya kiimani. Pia sex inapelekea utokwaji wa mbegu za mwanadamu. Wanadamu wengi wanafurahia sex na wanaamini kuwa ni raha lakini hawajui kuwa uwezo wa tone moja la mbegu inayotoka ni sawa na matone 40 ya damu. Kwa maana kuwa mbegu ni aina ya majimaji ya mwili ambayo dhamani kubwa ya uhai imewekwa. Mtu anapotoa mbegu kila saa anapelekea mwili wake kulazimika kujinyima na kutengeneza mbegu kwanza lakini mtu asiyetoa mbegu zake mara kwa mara ile nguvu ya mwili kutengeneza mbegu inapungua na mwili unatengeneza nguvu ya kiroho, kimwili na kiakili. Na hata utafiti wa sasa unasema kuwa mbegu zisipotumika mwili unaziwekeza katika maendeleo mengine ya mwili. Hata ukitaka kujaribu kaa bila sex kwa muda mrefu na siku ukiingia kwenye sex unahisi mchovu na emotional imbalance.

Cha msingi ni kujitambua. Sex sio kitu cha kusema kitumike kuzidisha, na kwa ambao hawana muda na sex au wanadhiri nao wapo sawa kabisa.
 
Apollo Element zikiwa zinaungana utengeneza bond, na once ikiwa created itahitaji energy nyingine atrong kuweza kuachanisha those atoms zilizopo.

Nauchukulia muungano wa watu during sex kama aina ya bond hizo, maana kuna similarties nyingi sana.
Wataunganish bond zao ambazo ukirefer katika maandiko wanasema bond za kiroho zikitengenezw kifo ndo huweza kutengua, maan mnakuwa mme ji-channel.
hapo nakosea wapi
 
Last edited by a moderator:
Apollo Element zikiwa zinaungana utengeneza bond, na once ikiwa created itahitaji energy nyingine atrong kuweza kuachanisha those atoms zilizopo.

Nauchukulia muungano wa watu during sex kama aina ya bond hizo, maana kuna similarties nyingi sana.
Wataunganish bond zao ambazo ukirefer katika maandiko wanasema bond za kiroho zikitengenezw kifo ndo huweza kutengua, maan mnakuwa mme ji-channel.
hapo nakosea wapi

Nimekuelewa mkuu, lakini kiuhalisia jinsia ndio sababu inayokufanya uone kuwa mwanamke hajakamilika bila mwanaume na mwanaume hajakamilika bila mwanamke. Lakini si kweli. Hakuna energy uliyonayo ambayo mwanamke hana. Wote wana energy kuu saba, awe mwanamke au mwanaume. Mwili ndio unaobeba identity ya jinsia na sio roho. Hivyo roho hahiitaji kukamilika kupitia roho ya jinsia tofauti bali inahitaji kukamilika kwa kujitambua. Sex ni mtego wa kufunga reality, na utakapoiona reality utagundua sex is nothing zaidi ya kuleta uumbaji. Ile raha ni mtego wa kukufanya uwe attached nayo na kutojitambua. Ni sawa na asali kuwekwa kwenye kisu kikali. Asali ni nzuri sawa lakini usiwe attached nayo kwani utajikata.

Mfano mwingine mzuri ni Asia kwa wanaojifunza Shaolin na Kung Fu, ili mtu aweze kuongeza nguvu ya Chi kwenye mwili anatakiwa ahakikishe mbegu zake hazitoki. Kukaa muda mrefu bila kutoa mbegu inasababisha nguvu ya life iliyopo kwenye mbegu kusambaa mwilini na kufungua chenel kuu saba za Chi au Chakra.

Hii mada ni ngumu sana kwani walimu wengi wa imani wengine wanadiriki kufundisha kuwa sex ni lazima katika maisha lakini walimu wakuu wa imani ulimwenguni wametufundisha kuwa sex is nothing. Leave everything and seek the truth na sio kuwa attached na desire ya sex inayoleta tamaa, mazoea ya kutamani wanawake au jinsia tofauti na kibaya zaidi wengi wanaona hawajakamilika bila sex. It is wrong.
 
Apollo naona kama tunapishana kidgo, hivi.
Majibu yako mengi yamejenga impact ya sex kwa mtu mwenyewe if sijakosea. Like sex inaweka barrier ya baadhi ya mambo na energy if ukiwa atached nayo sana. Labda tuweke discusion kwa Qns.

Je, Sex huweza ku make bonds kati ya mtu mmoja na mwingine…??
 
Last edited by a moderator:
Apollo naona kana unapishana na mleta mada au haujamuelewa anachokizungumza. Anasema sex inacreate bond, exactly unachosema. Kunakuwa na attachment created. Wewe kwa upande wako unaelezea madhara ya attachment hiyo ya sex.......
 
Last edited by a moderator:
Apollo naona kama tunapishana kidgo, hivi.
Majibu yako mengi yamejenga impact ya sex kwa mtu mwenyewe if sijakosea. Like sex inaweka barrier ya baadhi ya mambo na energy if ukiwa atached nayo sana. Labda tuweke discusion kwa Qns.

Je, Sex huweza ku make bonds kati ya mtu mmoja na mwingine…??

Usiwe na shaka Merengo, ndio tunashirikiana kuelekezana kwani sisi wote ni watafutaji wa ukweli.

Sex inaweza kumake Bond na kuleta uhai mpya. Lakini sex inatakiwa idhibitiwe. Na pia sex sana ni tatizo kwani unasababisha energy yako kuwa imbalanced kwani huwezi kujua energy ya mwenzio ipoje. Hivyo upo sahihi lakini nilichopinga ni kusema ni gates to your soul. Other ideas nakuunga mkono.
 
Apollo naona kana unapishana na mleta mada au haujamuelewa anachokizungumza. Anasema sex inacreate bond, exactly unachosema. Kunakuwa na attachment created. Wewe kwa upande wako unaelezea madhara ya attachment hiyo ya sex.......

Najaribu pia kutoa ufahamu katika upande mwingine kwani attachment ni poison kubwa ya soul. Bond ya sex sio ya lazima lakini inaweza kuwepo na kwa sex na mtu mwenye energy ambazo zitabalance na wewe. Lakini inatakiwa kudhibitiwa kwa kutozidisha bond au kupunguza bond. Na kujitahidi kubalance ni taabu kwani huwezi kufahamu energy channel ya mwenzio. Hivyo sijakaa mada lakini nimeelekeza kuwa sex sio gate to your soul.
 
3. Kutembea bili viatu ,yaani peku peku pia inafanya wew kuground acquired spirit debris.
  • Hii huwa inagusiwa sana na Ndugu M. Mpoto (Pindi abapo hojiwa), kwa nini mara kadhaa huwa anaonekana akiwa peku?
  • Sasa kidogo naanza kuelewa
 
Options for Cleansing…
Bathing with Epsom Salts
Water helps wash away dirt, both
physically and energetically. Adding
Epsom Salts to your bath stimulates
the flow of your own energy and also
draws minor psychic debris out of
your aura.
Swimming
Submerging yourself in water helps
cleanse your aura. As ocean water
contains salt and minerals, it is
especially useful for drawing minor
psychic debris out of your aura.
Sunlight
Gentle exposure to sunlight
stimulates the flow of your own
energy. Some lower vibrations
cannot exist with exposure to bright
light.
FOUR MOST POWERFUL
APPROACHES TO AURA
CLEANSING…
1. Aura Meditation
Even basic meditation helps you
relax and release. Aura meditation
works directly with releasing
unwanted energies through
grounding, clearing your aura,
energy channels and chakras. One of
the most powerful ways to cleanse
and care for your aura is energy-
based aura meditation.
2. Aura Healings
In an aura healing, the healer
supports you in cleansing unwanted
energies out of your system. The
healer assists you in grounding out
psychic debris, releasing blocks and
helps you get your own energy
flowing. If you’d like to find out more
about Aura Healing, I highly
recommend you research Reiki. If
you’d like to experience it yourself, I
recommend you look for a Reiki
healer in your area)
3. Aura Readings
Often we confuse other people’s
energy with our own energy. When
we mistake foreign energy for our
own, we do not want to release it.
We hold on to it because we think it
is us! In a clairvoyant aura reading, a
reader can help you identify your
own energy and discern foreign
energy. When you recognize an
energy is not you, it is much easier to
release.
4. Feeling your Emotions
When your emotional energy is
blocked, it creates congestion and
back-up throughout your spiritual
energy system. This makes it easy to
get stuck with unwanted energies.
Allowing yourself to feel hidden
emotions creates a release of energy.
This movement and flow supports
you in cleansing psychic debris.
____________
Other Options for Aura Cleansing…
Wind
Standing with an open body posture
in a strong wind supports you in
releasing unwanted energies. As sea
breezes contain moisture, salt and
minerals, ocean winds are especially
beneficial for aura cleansing.
Gardening or Being in Nature
Through gardening and being in
Nature, you come in direct contact
with the earth. This helps you get
grounded and release unwanted
energies out of your system.
Creativity
Creating something you’re
enthusiastic about gives you a
‘creative high’. These surges of
creative energy stimulate the flow of
your own energy and support you in
releasing blocks and unwanted
energies.
Here is the source of the information
on Aural Cleaning. If you’d like to find
out more about aura healing, energy
healing, and distant healing, I highly
recommend you check out the rest of
the website: Aura Cleansing and
more
***The first half of this article was
written by Allie Theiss and excerpt
from: Sharing Intimate Energy - Allie Theiss
intimate-energy
 
Hii mada bado ina utata sana kwani sio kwamba ina uhakika kwa asimia kubwa. Hapana nayo ina utata wake kwani Sex ni tendo ambalo mwanadamu mpaka leo anajaribu kujiuliza lengo lake ni nini.

Kwa watu wanaoamini Occult wanaamini kuwa Sex ni gate of eden. Wanaamini kuwa Sex ni muunganiko wa mwanadamu yaani mwanamke na mwanaume. Pia wanaamini Sex ni uumbaji kwani hupelekea uumbaji wa maisha mapya ya mtoto. Occult wamefika mbali kwa kufundisha kuwa Orgasm ni tofauti na sex. Orgasm ni hisia inayopatikana katika sex. WanaOccult wamegawanyika hapa.


  • Kuna wanaoamini Sex ndio msingi mkuu
  • Kuna wanaoamini Orgasm ndio msingi mkuu na sex sio lazima.

Kwani Orgasm wanaamini inaamsha energy ya kujitambua mwilini.

Lakini mimi baada ya kujifunza sana, nimekuja kukataa kabisa kuwa Sex ni muhimu katika kujitambua. No Sex sio muhimu kwani wanadamu wengi waliokuja kujitambua waliwahi kujitenga na mahusiano na mwanamke kwa kipindi fulani au katika maisha yao yote. Hii ni uthibitisho kuwa sex sio gate to soul bali kuachana na desires ndio gates to soul. Sex ni njia ya kuweka uhai mpya kwa kuleta uhai tena kwenye hali ya uanadamu lakini pia sex ni kifungo ambacho mwanadamu anajifunga ili asijitambue. Ni kama ni njia ya pekee katika kuleta uhai lakini pia ni njia ya kukupoteza pia. Mfano mzuri na wanafunzi wa Yesu waliacha kuendelea na mahusiano na wake zao na kushikilia imani kwa kujitambua. Lengo kuu ni kujitambua kwani unapoishi maisha yasiyo na tamaa, desires, lust na ujinga unaongeza kujitambua na nguvu ya kiimani. Pia sex inapelekea utokwaji wa mbegu za mwanadamu. Wanadamu wengi wanafurahia sex na wanaamini kuwa ni raha lakini hawajui kuwa uwezo wa tone moja la mbegu inayotoka ni sawa na matone 40 ya damu. Kwa maana kuwa mbegu ni aina ya majimaji ya mwili ambayo dhamani kubwa ya uhai imewekwa. Mtu anapotoa mbegu kila saa anapelekea mwili wake kulazimika kujinyima na kutengeneza mbegu kwanza lakini mtu asiyetoa mbegu zake mara kwa mara ile nguvu ya mwili kutengeneza mbegu inapungua na mwili unatengeneza nguvu ya kiroho, kimwili na kiakili. Na hata utafiti wa sasa unasema kuwa mbegu zisipotumika mwili unaziwekeza katika maendeleo mengine ya mwili. Hata ukitaka kujaribu kaa bila sex kwa muda mrefu na siku ukiingia kwenye sex unahisi mchovu na emotional imbalance.

Cha msingi ni kujitambua. Sex sio kitu cha kusema kitumike kuzidisha, na kwa ambao hawana muda na sex au wanadhiri nao wapo sawa kabisa.

Kaka nimekuelewa sanaa......athar ya unachokisema imenitokea, kuna cku nilikamia nkmfungia binti saa 12 alfajir...mpaka ucku...nilienda Kama Saba hiv kwa kipind chote hicho Impact yake mpaka sasa Mai fill...it's terrible
 
Najaribu pia kutoa ufahamu katika upande mwingine kwani attachment ni poison kubwa ya soul. Bond ya sex sio ya lazima lakini inaweza kuwepo na kwa sex na mtu mwenye energy ambazo zitabalance na wewe. Lakini inatakiwa kudhibitiwa kwa kutozidisha bond au kupunguza bond. Na kujitahidi kubalance ni taabu kwani huwezi kufahamu energy channel ya mwenzio. Hivyo sijakaa mada lakini nimeelekeza kuwa sex sio gate to your soul.

Nimekuelewa
 
Hii mada bado ina utata sana kwani sio kwamba ina uhakika kwa asimia kubwa. Hapana nayo ina utata wake kwani Sex ni tendo ambalo mwanadamu mpaka leo anajaribu kujiuliza lengo lake ni nini.

Kwa watu wanaoamini Occult wanaamini kuwa Sex ni gate of eden. Wanaamini kuwa Sex ni muunganiko wa mwanadamu yaani mwanamke na mwanaume. Pia wanaamini Sex ni uumbaji kwani hupelekea uumbaji wa maisha mapya ya mtoto. Occult wamefika mbali kwa kufundisha kuwa Orgasm ni tofauti na sex. Orgasm ni hisia inayopatikana katika sex. WanaOccult wamegawanyika hapa.


  • Kuna wanaoamini Sex ndio msingi mkuu
  • Kuna wanaoamini Orgasm ndio msingi mkuu na sex sio lazima.

Kwani Orgasm wanaamini inaamsha energy ya kujitambua mwilini.

Lakini mimi baada ya kujifunza sana, nimekuja kukataa kabisa kuwa Sex ni muhimu katika kujitambua. No Sex sio muhimu kwani wanadamu wengi waliokuja kujitambua waliwahi kujitenga na mahusiano na mwanamke kwa kipindi fulani au katika maisha yao yote. Hii ni uthibitisho kuwa sex sio gate to soul bali kuachana na desires ndio gates to soul. Sex ni njia ya kuweka uhai mpya kwa kuleta uhai tena kwenye hali ya uanadamu lakini pia sex ni kifungo ambacho mwanadamu anajifunga ili asijitambue. Ni kama ni njia ya pekee katika kuleta uhai lakini pia ni njia ya kukupoteza pia. Mfano mzuri na wanafunzi wa Yesu waliacha kuendelea na mahusiano na wake zao na kushikilia imani kwa kujitambua. Lengo kuu ni kujitambua kwani unapoishi maisha yasiyo na tamaa, desires, lust na ujinga unaongeza kujitambua na nguvu ya kiimani. Pia sex inapelekea utokwaji wa mbegu za mwanadamu. Wanadamu wengi wanafurahia sex na wanaamini kuwa ni raha lakini hawajui kuwa uwezo wa tone moja la mbegu inayotoka ni sawa na matone 40 ya damu. Kwa maana kuwa mbegu ni aina ya majimaji ya mwili ambayo dhamani kubwa ya uhai imewekwa. Mtu anapotoa mbegu kila saa anapelekea mwili wake kulazimika kujinyima na kutengeneza mbegu kwanza lakini mtu asiyetoa mbegu zake mara kwa mara ile nguvu ya mwili kutengeneza mbegu inapungua na mwili unatengeneza nguvu ya kiroho, kimwili na kiakili. Na hata utafiti wa sasa unasema kuwa mbegu zisipotumika mwili unaziwekeza katika maendeleo mengine ya mwili. Hata ukitaka kujaribu kaa bila sex kwa muda mrefu na siku ukiingia kwenye sex unahisi mchovu na emotional imbalance.

Cha msingi ni kujitambua. Sex sio kitu cha kusema kitumike kuzidisha, na kwa ambao hawana muda na sex au wanadhiri nao wapo sawa kabisa.

Ni kweli sex inaharibu hata muonekano wako endapo ukizidisha, maana inanitokea sana.
Mimi nikizidisha sex labda mara 3 kwa week au 4, nakuwa na mikosi mikosi ya kila aina na pia watu wanakuwa hawanipendi kama siku zingine, pia nakifanya meditation sioni mabadiliko yoyote hadi nashangaa haya mambo yanakuwajekuwaje.
 
Ni kweli sex inaharibu hata muonekano wako endapo ukizidisha, maana inanitokea sana.
Mimi nikizidisha sex labda mara 3 kwa week au 4, nakuwa na mikosi mikosi ya kila aina na pia watu wanakuwa hawanipendi kama siku zingine, pia nakifanya meditation sioni mabadiliko yoyote hadi nashangaa haya mambo yanakuwajekuwaje.

Ni kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom