Edson Eagle
Member
- Apr 20, 2024
- 26
- 11
Katika Tanzania tuitakayo Serikali iboreshe katika sekta ya kilimo kwani ndio uti wa mgongo katika kuimalisha uchumi wa nchi yetu. Mambo yakufanyiwa kazi ni pamoja na:-
1. Kutoa elimu juu ya hatua zote za kilimo husika(tangu kuandaa shamba hadi kuvuna) kwa wadau wote wa kilimo.
2. Kuboresha nyanja za kilimo ikiwa ni pamoja na matumizi ya mashine za kisasa zinazoendana na wakati.
3. Kuboresha uzalishaji wa mbegu bora za mazao pamoja na dawa nzuri za kuyalinda mazao dhidi ya wadudu waharibifu.
4. Kupanua wigo wa kilimo cha umwagiliaji(irrigation scheme) katika maeneo yote yenye kuruhusu uwekezaji ktk kilimo .
5. Kuhakikisha mkulima ananufaika na bei za mazao katika msimu wowote .
6. Kutenga maeneo makubwa kwaajiri ya kilimo pendekezwa kitakachoendeshwa kwa hatua za kisasa zaidi na kitaalamu kwani itakuwa chanzo cha ajira pia.
kilimo cha kisasa na kitaalamu.
1. Kutoa elimu juu ya hatua zote za kilimo husika(tangu kuandaa shamba hadi kuvuna) kwa wadau wote wa kilimo.
2. Kuboresha nyanja za kilimo ikiwa ni pamoja na matumizi ya mashine za kisasa zinazoendana na wakati.
3. Kuboresha uzalishaji wa mbegu bora za mazao pamoja na dawa nzuri za kuyalinda mazao dhidi ya wadudu waharibifu.
4. Kupanua wigo wa kilimo cha umwagiliaji(irrigation scheme) katika maeneo yote yenye kuruhusu uwekezaji ktk kilimo .
5. Kuhakikisha mkulima ananufaika na bei za mazao katika msimu wowote .
6. Kutenga maeneo makubwa kwaajiri ya kilimo pendekezwa kitakachoendeshwa kwa hatua za kisasa zaidi na kitaalamu kwani itakuwa chanzo cha ajira pia.