Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Kwanini alikubali kusimama na Kikwete jukwaani na kuomba kura za wananchi ambao walimrudisha tena Bungeni kwa mara ya nne?
kwa sababu yeye na kikwete wanaamini mpaka kesho kuwa Watanzania na hasa Wana-igunga ni majuha.