Mpenda Kwao
Senior Member
- Apr 29, 2008
- 175
- 18
Unayosema wewe ni kufikirika mimi naongelea analysis za theory ilio maarufu sana, sina haja ya kukuambia ni ipi, fanya homework yako. Sina haja ya ku assume kama utakavyo kwani hiyo itakuwa ni assumption. Mwambie aweke picha yake aliosimama na mtu mwingine yeyote halafu tuithibishe niliyoyasema, simjui hanijui lakini maandiko yake nimeyachambua na kufikia conclusion kuwa huyu ni mtu mfupi sana na anasura mbaya sana kwa hiyo watu wote warefu na wenye sura za kuvutia kama Rostam, Kikwete, kwake huwa ni maadui wa kufikirika na isitoshe wakiwa na mafanikio.
Hapo kwenye red, wewe ni jinsia gani? Na je umefaidika na nini kwa Rostam?