Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,114
- 219,201
Nimefuatilia Msiba wa huyu Jamaa, Mtangazaji wa Clouds aliyetutoka juzi na kuagwa leo Leaders Club, Leo ndio nimewajua wabongo wanaojiita watu maarufu, yaani kichefuchefu kuliko kichefuchefu cha Waja wazito.
Kila anayekuja anataka watu waache kulia ili wamtazame yeye kwanza , yaani wanajitanua Msibani ! mliona wapi mambo haya?
Ni ushamba Mtupu!
Kila anayekuja anataka watu waache kulia ili wamtazame yeye kwanza , yaani wanajitanua Msibani ! mliona wapi mambo haya?
Ni ushamba Mtupu!