Report ya Makonda ya kutembelea mikoa 20 ikimfikia Rais tutarajie yafuatayo kutolea!

1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out

Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.

Tatizo kubwa ni huyo Rais. Vyote vinaanzia hapo. Ukimuweka mchapakazi, mzalendo, mwenye uchungu, serious person matatizo mengi kama umeme, maji, ardhi, mfumuko wa bei yote yatapata ufumbuzi. SSH anteua wahuni na kutengua wachapakazi.
 
1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out

Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.
Sidhani kama Raisi Samia ni mtu asiyetumia akili kama unavyodhania
 
1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out

Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.
Kumbe rais alikuwa yupo yupo tu na hajui kinachoendelea nchini ndiyo maana anasubiri ripoti ya mtu anayepita sehmu moja siku moja au mbili tu?
 
1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out

Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.
Mama hawezi kubali. Maana wengi ni vijana wake.
Ila Ccm iko makaburi ya jumuia.
 
1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out

Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.
Kama ndio vivyo basi hatumfikishii maana atajitumbua mpaka yeye ngoja tuachee😞😭😭😭
 
JUMLA YA MAAFISA 1,104 WAFUKUZWE KAZI

Mchanganuo wa maafisa hao:
Kada 6 za maofisa × 184 = 1,104

DEDs wakurugenzi wa halmashauri na wilaya wote wamekosa sifa za kuwa watumishi wa umma na pia kukosa sifa kuwa wasimamizi wa chaguzi


MaDED wote zaidi ya 184 wafukuzwe kazi mara moja.

Hadi kufikia mwaka 2021, kuna mikoa 31 ya Tanzania ambayo imegawanywa katika wilaya 184.

MaDC
184 nao wafukuzwe kazi .

Wakuu wa TAKUKURU 184 wilayani wafukuzwe kazi

Wakuu wa polisi wilaya 184 na kanda maalum wafukuzwe.

DSO maafisa usalama 184 wa wilaya wafukuzwe kazi

Likifanyika hilo tunaweza kidogo sana kukubali kuwa uongozi mkuu wa nchi umeamua kuchukua maamuzi magumu kulinusuru taifa kutoka rushwa, ufisadi, kushindwa kuwajibika, kutoa taarifa zisizo sahihi kwa wakubwa wao na kutumia madaraka vibaya
 
1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out

Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.
Huyo kilaza wa taifa ndio afanye hayo? Hahahaa, anajitahidi kujitutumua kwamba yeye ni zaidi ya kila mtu, ila mwisho wake hauko mbali sana
 
Kama ndio vivyo basi hatumfikishii maana atajitumbua mpaka yeye ngoja tuachee😞😭😭😭
Tatizo kubwa ni usimamizi, msimazi mkuu wa nchi hataki kusimamia chochote cha maana kujishugulisha matatizo makubwa na nchi yake.

Watendaji wote wangejua boss wao anataka nini, ukizingua unatumbuliwa au jela wangekuwa makini.
 
Reasoning ya Makonda ni ndogo sana haiwezi kumshawishi Rais amfukuze mtu, tatizo linamhusu mkuu wa mkoa lkn yeye anamlaumu mkurugenzi, tatizo linahusu serikali kuu yeye anamlaumu mkurugenzi, mkurugezi tatizo amelikuta lkn yeye atasema kwanini usijiuzuru.
 
Kazi ya Urais ni kuwa mfano, kauli, matendo, vitendo, teuzi, tenguzi zako zote ni mfano kwa watendaji, jamii, nchi yako. Unafikiri watendaji sasa hivi wanapata mfano gani?

Makonda hawezi kutatua matatizo yanayosababishwa na boss wake na utendaji wake mbovu, tatizo ni mkuu wa nchi kutofanya kazi yake. Yeye mwenyewe ni mzembe, mvivu, anasikiliza majungu, anataka vitu virahisi kama royal tour miezi kibao nje ya nchi.

Uozo unaanzia pale juu. Rekebisha pale kwanza mambo yanaweza kurekebishika.

Acha Tuone Ila CCM Imeoza Jamani
 
Kutokana na ziara ya Makonda nimejifunza hao maded na viongozi wa Halmashauri ndio tatizo kubwa sana nchini.

Kama nchi inatakiwa ije na mfumo mpya wa kuongoza Halmashauri zetu
Nani anawasimamia na kuwawajibisha?

Ukijua hata ukichukua nyumba ya mjane, shamba la maskini, mafao ya mstaafu hutafanywa lolote kwa hulka ya binadamu utafanya nini?
 
Back
Top Bottom