Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,791
- 2,222
Unawaza mazingaombwe hayo
Hapo labda amuondoe waziri wa elimu.1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out
Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.
Inasema Makonda ana uwezo wa kumpa maagizo Rais na yakatekelezwaKatiba inasemaje