Report ya Makonda ya kutembelea mikoa 20 ikimfikia Rais tutarajie yafuatayo kutolea!

1. Waziri wa Afya - out
2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out
3. Waziri wa kilimo - out
4. Waziri wa Elimu - out
5. Waziri wa Nishati - out
6. Waziri wa ardhi - out
7. IGP - OUT
8. Mkuu wa uhamiaji - out

Kuondolewa Kwa :-
6. Wakurugenzi wa Halmashauri wote aliko pitia
7. DC na Das kote alikopitia
8. Wakuu wa mikoa na RAS kote aliko pitia
9. Makatibu wawilaya na mikoa wa CCM kote alikopitia
10. RPC NA ODC kote alikopitia.
Hapo labda amuondoe waziri wa elimu.
Waziri wa afya anatokea Tanga, Mambo ya ndani Ni home boy, naibu unategemea wayahudi, wasukuma na wasumbwa watamuelewa?
 
Back
Top Bottom