Fake P
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 1,836
- 5,066
Sawa, utakuja kufukua hapaContinue dreaming...
Sawa, utakuja kufukua hapaContinue dreaming...
Kwanini tushangae kama anaweza who cares..., ila sio kulazimisha sababu hayupo na hajawahi kuwepo basi awepo.....Rais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
Source: TBC
Yanaletwa mambo ya kijinga kabisa50/50 inatuharibia sana mambo
Jeshi lilishasema kwamba wao wana Askari tu, hawana mambo ya Mwanamke au Mwanaume na ndiyo maana Jeshi hilohilo likasema cheo cha ‘Amiri’ hakitabadilika sababu ya Junsia bali kitabaki vivyo hivyo.Rais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
Source: TBC
Mbowe: Nchi hii ina Wanaume wa hovyo na wapambeKwa upuuzi wa watawala wa Tanzania inawezekana mwanamke kuwa mkuu wa majeshi lakini Kwa Nchi zinazojitambua kama huko ulaya huwezi kusikia huo upuuzi.
Hii nchi viongozi wanaongoza kwa ajili ya kuchaguliwa tena, wao wanachowaza ni Uchaguzi tu na kuendelea kubakia madarakaniHii nchi changamoto nyingi, vikokotoo vina shida, muungano hatuutaki. Badala ya ku adress hizo yeye anageuka Shekhe Yahya tena kwenye matukio muhimu.
No. Just a Naturewhy not, and we have woman president and Commander in chief of defense forces 🐒
Kama amiri jeshi mkuu kasema mimi ni nani nipinge😂 ila itakua ni bonge la mistake kafanyaSawa, utakuja kufukua hapa
Alitoa maelekezo in advanceRais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
rais mwanamke amefanya nini la maana?Rais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike
Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke
Source: TBC
Na pale uhamiaji napo wameweka gazeti.Kama raisi na spika wanawake huyo cdf mwanamke atafanya maajabu gani
Usiogope 😂Wanaanzaga Hivi Hivi, Hata Jiwe Aliwaambia Magereza Nitateua Mtu Kutoka Jeshini Akafanya Hivyo
Angekua na uhakika angesema 2025 .Ana uhakika 2025 atatoboa huyu mama.