Rais Samia amuongeza Dkt. Rioba miaka miwili kuiongoza TBC

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,863
4,691

Rais Samia Suluhu Hassan amemwongezea miaka miwili ya kuliongoza Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Dkt. Ayub Rioba Chacha.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema, "Mheshimiwa Waziri Mkuu niseme tu baada ya kazi kubwa iliyofanywa na Dkt. Rioba kwa miaka nane, lakini tunamshukuru Rais (Samia Suluhu Hassan) kwa kumwongezea tena miaka miwili ili amalizie kazi kubwa alioanza kuifanya."

PIA SOMA:
- Dkt. Ayub Rioba akanusha vikali kuondoka TBC, awaomba Watanzania wapuuze uvumi

- Mkurugenzi wa TBC Dr Ryoba: Nina moyo wa mwendawazimu

- Ayub Rioba: JamiiForums ni chombo cha habari na si jukwaa la mtandao
 
Ila ifike mahali Teuzi ndogo ndogo Samia awaachie mawaziri, hadi wakuu wa vyuo anateuwa yeye, sijui wakuu wa bodi yeye, amgedeal na teuzi kubwa kubwa tu hadi aibu
 
Hana jipya huyu. TBC tangu aondoke Tifo Mhando hakuna mtanzania mwenye mapenzi nayo.

Vipindi vingi vya TBC ni vya kidwanzi na full uchawa.

Huu Ryoba kazi yake ni kumsifia Samia na ccm yake tu
 
Cha muhimu huyo Dr nilimuona anawalaumu wakoloni nilishangaa.

Nchi iliyopata Uhuru 60 yrs a go how comes unawapa lawama wakoloni kuwa wamefanya msiendelee na kuwa masikini

Anabidi ajitafakari unapokuwa msomi then haupo logically inatia mashaka.

Mnashindwa kujua kuwa the biggest reason ya kuwa masikini ni hipi.
 

Rais Samia Suluhu Hassan amemwongezea miaka miwili ya kuliongoza Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Dkt. Ayub Rioba Chacha.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema, "Mheshimiwa Waziri Mkuu niseme tu baada ya kazi kubwa iliyofanywa na Dkt. Rioba kwa miaka nane, lakini tunamshukuru Rais (Samia Suluhu Hassan) kwa kumwongezea tena miaka miwili ili amalizie kazi kubwa alioanza kuifanya."

PIA SOMA:
- Dkt. Ayub Rioba akanusha vikali kuondoka TBC, awaomba Watanzania wapuuze uvumi

- Mkurugenzi wa TBC Dr Ryoba: Nina moyo wa mwendawazimu

- Ayub Rioba: JamiiForums ni chombo cha habari na si jukwaa la mtandao
Tbc izidi kupotea kabisa, 0 creaivity chini yake
 
Cha muhimu huyo Dr nilimuona anawalaumu wakoloni nilishangaa.

Nchi iliyopata Uhuru 60 yrs a go how comes unawapa lawama wakoloni kuwa wamefanya msiendelee na kuwa masikini

Anabidi ajitafakari unapokuwa msomi then haupo logically inatia mashaka.

Mnashindwa kujua kuwa the biggest reason ya kuwa masikini ni hipi.
Bora hio miaka 60 tusingephase out wakoloni wote tungeendelea kuishi nao on par. Taifa lingekuwa mbali sana hili.
 
Ila ifike mahali Teuzi ndogo ndogo Samia awaachie mawaziri, hadi wakuu wa vyuo anateuwa yeye, sijui wakuu wa bodi yeye, amgedeal na teuzi kubwa kubwa tu hadi aibu
Bado kidogo hata wachumba zetu watateuliwa na Rais.
 
Rioba ni kama Karia hawana nyota ya kupendwa ila kazi wanapiga sana ila ndio hivyo!
Chini ya Karia soka limekuwa na tija hasa ligi kuu
Chini ya Rioba angalau Tbc imeanza kuangalika watangazaji Wana Nuru
 
Ila ifike mahali Teuzi ndogo ndogo Samia awaachie mawaziri, hadi wakuu wa vyuo anateuwa yeye, sijui wakuu wa bodi yeye, amgedeal na teuzi kubwa kubwa tu hadi aibu
mama yuko Idle sana, ila hii aliasisiwa na Magu, na angekuwe hadi sasa angeteua hadi watendaji wa vijiji
 
Back
Top Bottom