certified mdokozi
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 1,403
- 809
kale kakilaji kahalalishwe tu nikipiga mzinga robo na save the money i could spend on 5 safari bottles
Naunga mkonoView attachment 400560Ifike mahali tuachane na unafiki! Hivi vitu ni chanzo kimoja kizuri sana cha mapato kama kikiwekewa utaratibu maalum na kuongezewa thamani yake kwa kufanya mchujo wa kitaalam na ufungaji pia
Hivi ni vyanzo vinavyotoa ajira kwa maelfu ya vijana...ni vyanzo ambavyo wengi wanaendeshea maisha yao ikiwemo kusomesha matibabu na hata ujenzi...lakini kile ambacho kingepaswa kuingia serikalini kinachukuliwa na wachache wanausalama wetu hasa jeshi la polisi View attachment 400561
Kesi za bangi na gongo ni nyingi sana huko vituo vya polisi na mahakamani, hawa wanaokamatwa wangetengenezewa utaratibu maalum TANZANIA ya viwanda ingeanzia hapaView attachment 400562
Kwenye hii operation ya kukamatwa hii mitambo askari kibao nao walikamatwa
Kizazi kipya
Ukitaka kujua tabia,na maendeleo ya jamii husika jaribu kuangalia na kuchunguza vijana wa hiyo jamii wanawaza na kufikiri nn .
Wkt vijana wakichina ,Hindi ,marekani. Israel wanawaza namna ya kutengeneza apps ,na vingine vingi ,huku kijana wakiTanzania anawaza no VP gongo na bangi ihalalishwe sabb ya kodi
Kodi ina faida gn kama vijana wanakaa vijiweni na kuvuta bangi nenda kigogo uone watt wadogo walivyochafuka kwa kuvuta bangi ,panya road. ,nguvu kz zinapotea nyng kwa. Unywaji wa gongo
Ifike mahali tuachane na unafiki! Hivi vitu ni chanzo kimoja kizuri sana cha mapato
Umesoma kwa makini lakini nilichoandika?Kizazi kipya
Ukitaka kujua tabia,na maendeleo ya jamii husika jaribu kuangalia na kuchunguza vijana wa hiyo jamii wanawaza na kufikiri nn .
Wkt vijana wakichina ,Hindi ,marekani. Israel wanawaza namna ya kutengeneza apps ,na vingine vingi ,huku kijana wakiTanzania anawaza no VP gongo na bangi ihalalishwe sabb ya kodi
Kodi ina faida gn kama vijana wanakaa vijiweni na kuvuta bangi nenda kigogo uone watt wadogo walivyochafuka kwa kuvuta bangi ,panya road. ,nguvu kz zinapotea nyng kwa. Unywaji wa gongo
Mwambie panya road ni umasikini tu,wavuta bhangi hawanaga hayo mambo Ya panya road,wavuta bhangi wanapenda kuchill na kumeditate baada Ya pilikapilika za maisha,mbona uholanzi wanakula mmea live kwenye coffee shops tena SKUNK na hakuna panya road.Umesoma kwa makini lakini nilichoandika?
Mkuu hapo sasa na mapunga watadai haki yaoHata mimi nakubaliana na wewe, waruhusu pia Malaya kujiuza ili mradi wawekewe utaratibu wa kupimwa mara kwa mara na kulipa kodi, kwa hili nadhani tutapata uungwaji mkono wa baadhi ya wabunge wa ccm akiwemo msukuma