Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,678
- 698,787
Hivi ni vyanzo vinavyotoa ajira kwa maelfu ya vijana...ni vyanzo ambavyo wengi wanaendeshea maisha yao ikiwemo kusomesha matibabu na hata ujenzi...lakini kile ambacho kingepaswa kuingia serikalini kinachukuliwa na wachache wanausalama wetu hasa jeshi la polisi
Kesi za bangi na gongo ni nyingi sana huko vituo vya polisi na mahakamani, hawa wanaokamatwa wangetengenezewa utaratibu maalum TANZANIA ya viwanda ingeanzia hapa
Kwenye hii operation ya kukamatwa hii mitambo askari kibao nao walikamatwa