Saint Anno II
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 4,272
- 14,805
Hatuwezi kupangia watu waishi vipi kikubwa kila mmoja ashikamane na anachoona kinamfurahisha akiona kuna uwezekano wa kuachana nacho ataacha mwenyewe akiona hawezi ataendelea nacho so kama kuna shida itakuja huko mbeleni itakuwa ni yeye na nyumba yake.
Binafsi ni muumini wa kusikiliza shauri mbalimbali,ushauri wa kutogusa pombe alinipa mjomba wangu (deceased) mwaka 2002 na bado nauishi.
Binafsi ni muumini wa kusikiliza shauri mbalimbali,ushauri wa kutogusa pombe alinipa mjomba wangu (deceased) mwaka 2002 na bado nauishi.