WILLAFRICA
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 4,027
- 930
Upuuzi huu haufai hata kidogo na naiona zanzibar ya kisomali a baada tu ya october!
Poleni sana ndugu zetu ila kumbukeni alikisasu haki. Mwenyezimungu awalinde na hila za makafiri na madhalimu miongoni mwa wanafiki
Wakati huyu mwandidhi akipigwa mapanga na magaidi wa ccm . Leo magaidi hao wa ccm wamevamia radio Coconut FM na kumtisha mwandishi na mtangazaji wa kituo hicho aliekua akiendesha kipindi kuhusu uchaguzi.
Kundi hilo la magaidi wapatao 20 lilifanya uhalifu huo kwa amri ya Waziri wa vikosi vya Zanzibar. Walivamia jengo hilo wakiwa na SMG machete marungu na silaha nyengine.
Magaidi hawa mbele ya ccm sio hatari na badala yake wamewatia ndani masheikh wetu bila ya sababu yoyote.
Ukweli uhalifu na ugaidi unao fanywa na hawa magaid wa ccm ni hatari na wana vunja amani ya nchi lakini ccm kufuga na kufundisha magaidi ni sawa.
Hakika ugaidi na uharamia huu ni mara mia ya maandamano ya uamsho ambao hawajawahi kutumia silaha ya moto.
Namhurumia Kikwete asipokua makini ataiacha zanzibar katika hali mbaya. Kuna kila dalili ccm znz hawakubali kushindwa na cuf nao wakiwa na support kubwa sana hawatokubali. Nahofia mauaji ya kama 64 yakarejea znz na waislam wengi kuuliwa . Kikwete unajukumu kubwa kuona hali inakua salama na uwashauri ccm znz kuwa wakubali matokeo kwa amani.
Sifa zote ulokuwa ukipata kuhusu aman huko znz itayeyuka kama utawakubslia wahuni wachache waiteke ccm znz kwa maslahi yao na sio ya nchi.
Polisi hawana haki ya kupiga raia.
Natoa pole zangu kwa huyo mwandishi wa Zanzibar, polisi hao wa Zanzibar, wamejifunza haya toka kwa kaka zao wa huku.
[h=3]Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!.[/h][h=3]IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality[/h][h=3]Waziri Nchimbi na IGP Mwema, Mnasubiri Nini Kujiuzulu? -[/h]
Pasco
Siasa zenu mnazjiua na kuziweza wenyewe. . . . . .
Polisi hawana haki ya kupiga raia.
Polisi hawana haki ya kupiga raia.
Ila wana haki ya kuvunja miguu! Ulitetea sana katiba ya chenge sasa hapa unasema nini tena??
Usitake kupandisha hasira za udini kukumbushia yale Mapinduzi Matukufu ya 1964 yaliyomfurusha mtawala dhalimu kwa kuyaita ni mauaji ya 1964 Waislamu wengi kuuwawa!, Zanzibar Waislamu ni asilimia 99!, hivyo kukitokea mauaji yoyote, wakati wowote watakao uwawa wengi ni Waislamu!.Namhurumia Kikwete asipokua makini ataiacha zanzibar katika hali mbaya. Kuna kila dalili ccm znz hawakubali kushindwa na cuf nao wakiwa na support kubwa sana hawatokubali. Nahofia mauaji ya kama 64 yakarejea znz na waislam wengi kuuliwa .