Polisi wampiga vibaya Mwandishi wa Habari Zanzibar

kwa nini apigwe yeye tu hata kama ni wa cuf? Waandishi wengine walikuwa wapi mpaka taarifa hiyo isitolewe kwenye media jana na leo? Je,wananchi kituoni hapo hawakuwepo makati anapigwa? Acha uongo wako kwani umedanganya mengi.

mbona unatokwa na povu, soma uzi vizuri polisi walimpiga kisha walienda kumtupa mbali na eneo la tukio maisara huko.
 
Dih!!! CUF inaonekana wanalipa unono. Yaani hadi mtu ukubali kuvunjwa miguu na mapolisi kutetea Waarabu, duh! On the other hjadn, kama mie ningekuwa CUF nimgechukua medical insurance NHIF, ila kwa hili inabidi wamsaidie matibabu CUF kwa misingi ya ubinadamu. Bob Marconi.
 
Usitake kupandisha hasira za udini kukumbushia yale Mapinduzi Matukufu ya 1964 yaliyomfurusha mtawala dhalimu kwa kuyaita ni mauaji ya 1964 Waislamu wengi kuuwawa!, Zanzibar Waislamu ni asilimia 99!, hivyo kukitokea mauaji yoyote, wakati wowote watakao uwawa wengi ni Waislamu!.

Kama waliopindua ile 1964 ni Afro Shiraz Party ambao sasa ni CCM, na waliopinduliwa ndio CUF, Zanzibar bado ni nchi ya kimapinduzi, aliyepinduliwa kamwe hawezi kuachiwa kurejea Zanzibar kwa mlango wowote wa mbele au wa nyuma!. Uchaguzi wa Zanzibar ni maigizo tuu, nchi haikabidhiwi kwa voting bali kwa vetting!.

Poleni!.

Pasco

Sawa kwa mtazamo wako na ni kweli ccm hawatoi kwa kura ila kwa vile kuna uchaguzi ili kupata serikali ya kidemocrasia hivo nadharia ya hatutoi mpaka tupinduliwe maana yake ni kukaribisha mauaji na uvunjifu wa amani kwa uroho wa madaraka.
Ukumbuke huu ni uchaguzi wa 5 sasa tangu vyama vingi.
Na mara 4 ccm wamefanya hiana kubwa ikiwa kusajili watu kutoka Tanganyika na hilo wakipata msaada mkubwa zaidi kutoka makanisa
2001 Yaliyotokea Znz unayajua raia wasio hatia waliuliwa in cold blood kule pemba na Uchaguxi wa 2000 mkapa alipeleka vifaru na magari ya deraya kule pemba kijiji cha piki na ziwani watu walibakwa na kuteswa sana ...ukizungumzia udini hapa utajua askari wake wanatoka wapi na askari na wa mrengo gani utaelewa mwenyewe. Moshi na kanda ya Ziwa wananchi wameikataa ccm lakini hata siku moja hakuna vifaru vinavo pelekwa...znz vinapelekwa kwa sababu wale ni waislam.
Wewe ni mtanganyika na mkristo pasco hujali na unafurahia vifaru vile vikipelekwa visiwani na picha za channel 10 za 2005 zilizo onesha askari wale walopelekwa kutoka tanganyika namna wakirusha risasi pale darajani kama wavuta bangi . Walishambulia hata wagonjwa wa akili hatudhani wale walikua askari waislam ....picha zile zili cost uraia wa Jenerali Ulimwengu kwa kuonesha ndani ya kipindi chake ushenzi ule.
Uchaguzi huu ccm znz imeishiwa na kwa kiasi kikubwa hakuna jinsi ya kupata namba ya ushindi ile walo zoea ya 0.2% .
Na cuf mara hii hakuna wa kuwazuia kutetea haki ya kama wata shinda ...Seif this time ni last election bila ya shaka hatimsikiliza tena mzee moyo wala mzee kingunge...na yeye atatumia theory ya Pinda ..liwalo na liwe... mungu aepushe mbali na amjaalie Kikwete hekima ya kuona mbali ...fungu lake kama mtanzania na kama muislam litakuwa kubwa sana sana

By the way kuhusu mauaji ya 64 yaliongozwa na mkatoliki Okkelo. Kwa karibu mwezi mzima alihimiza mauaji na kupitia radio alitangaza mungu wake alimtuma kumaliza waislam ....akisaidiwa na wavamizi kutoka tanganyika alifanikiwa hadi pale vijana wa umma party walipo dhibiti hali na pia yalisha baada ya kuitwa Okkelo Na nyerere na kuambia kazi alotumwa imeisha arejee kwao na penseni yake atapelekewa.
Soma kitabu chake mwenyewe utajua alikua anatumikia dini gani. Na haya ndio yamewafanya watu visiwani kuachana na ccm znz.
kumbuka wanao ikataa ccm ni wale wenye umri chini ya 50 yrs na hawakuwepo wakati huo Okkelo akifanya yake
NB. Utawala wa Shamte ulichaguliwa kwa kura na hakudhulumu mtu yoyote . Hakuna tone la damu walo toa kwa wa znz... mikono yao ni safi na hao ASP walikaribishwa kwa roho safi kuungana kujenga znz mpya.
Ya 1964 si matukufu hata siku moja ..walofanya mikono yao imejaa damu za watu wasio na hatia.. waliua shiba yao ni mauaji ya kimbari... na Karume hakuwa na nguvu ya kuzuia mauaji yale kwa nguvu zake ni nje ya znz ..hata pale baba yake Bakhreesaa aliekuwa kiziwi alipouliwa ndio Karume kashtuka ...akauliza mnaua hata hawa walotulea? Huyu mzee ametulea mtaani nae mmemuua? Sasa utajiuliza nani walikua wauaji....
 
itakuwa ametupwa na majambazi basi mkuu.
majambazi yalikuwa na uniform za polisi, bunduki na gari la polisi pia walikodi.

Hivi huu ndo ule mwezi mtukufu kwa waislamu au ndio lini tena????? kwa zanzibar 99% ni waislamu maana yake hata askari nao wako katika mfungo! au walilifanya hili baada ya kufuturu??
 
Hivi huu ndo ule mwezi mtukufu kwa waislamu au ndio lini tena????? kwa zanzibar 99% ni waislamu maana yake hata askari nao wako katika mfungo! au walilifanya hili baada ya kufuturu??

Askari wanatok moshi na mara na musoma saum haiwahusu wao ...kazi yao ni kufanya funga iwe ngumu
 
Mwandishi wa chombo gani haijulikani, halafu unatwekea dreva wa bodaboda unamwita mwandishi, onyesha uso
 
win8

Hao sio polisi ni genge la wahuni wanaoongozwa na serikali ya wezi. Polisi kazi yao ni kulinda raia wanaowalipa mshahara.
 
Last edited by a moderator:
Waliokuwa hawawajuii mazombi hao ndio mazombi naleo walivamia kituo cha coconut radio baada yakuwasema sana asubuhi
Huyo ni mwandishi wa habari yuko taabani baada ya kupata kipigo kutoka kwa polisi alikua akiwahoji watu waliokua wanataka kuandikishwa kwenye daftari la wapiga kura
 

Attachments

  • 1435609172737.jpg
    1435609172737.jpg
    21.6 KB · Views: 168
  • 1435609181322.jpg
    1435609181322.jpg
    30.2 KB · Views: 170
Mimi nina amini katika sera ya kisasi.lipizeni kisasi kwao kwa wakati wenu,usiku au mchama kwake au kwa jamaa yake au kwa mtoto wake au mkewe....nina amini sana kwenye kulipiza kisasi.

Wanavaa ninja tusiwafahamu, ni wakati wa kutembea na petrol
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1426234225.848295.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1426234225.848295.jpg
    9.8 KB · Views: 238
  • ImageUploadedByJamiiForums1426234197.279563.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1426234197.279563.jpg
    9.9 KB · Views: 239
Walisema eti hawaondoki kwa vipande vya karatasi.

Wanaotenda haya hawaamini katika demokrasia, wanafanya kiinimacho tu.
 
Ndipo ninapogundua kwamba kumbe Osama Bin Laden naye hakuzaliwa gaidi na aliuchukia ugaidi,lakini maisha na uonevu aliokumbana nao ndiyo ulimfundisha namna ya kujitetea. Nami nasema kwa vile hawa polisi tunaishi nao mitaani,basi tujuwe cha kufanya huko huko halafu iwe kimyakimya. Najua polisi ni ndugu zetu na hao wanopigwa ni ndugu zetu na hata wanowaambia polisi watupige pia ni ndugu zetu. Kama wao hawaoni ubaya wa kupiga ndugu zao nawashauri ndugu zao nao wasione ubaya kufanya hivyo kwa wakati wao na katika mazingira stahiki.
 
poleni wazanzibar kwa mwandishi wenu kupigwa bila kosa
kuwa na subila ccm mwisho wao october 2015
 
Back
Top Bottom