Picha: Unaweza kuishi kwenye Chumba hiki?

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,721
12,578
Chumba chenye open Maliwato...!

IMG_20240412_192212.jpg
 
Ndio hamna tatizo. Cha muhimu kuzingatia ni usafi, suala la privacy nalo ni la msingi
 
Hayo maliwato yalitakiwa kuwekewa kioo au yaungane na bafu mlango uwe mmoja na vioo viwe vyeusi!

Kifupi haifai kwa mtu yeyote yule bafu na choo vilipaswa kuwa na privacy hata kamani chumba cha mtu mmoja!

Kiufupi hicho sio chumba ni choo na bafu!
 
Kuna clip sijui ni nchi gani kuna public toilet ambayo ni transparent (sijui ndo hivi)
Ulieko ndani unaona nje kila kitu ila wa nje haoni ndani hata kidogo, kama una roho ndogo hujisaidii pale maana majitu unayaona livelive.

Ila kwa hapo ni fresh kama unaishi mwenyewe.
 
Marafiki wataenda kutangaza kijijini kwa wazazi kwamba mwanenu kachanganyikiwa anaishi chooni huko dasalama.
 
Back
Top Bottom