Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 38,274
- 47,499
Baada ya kifo cha Membe familia yake inaweza kudai pesa zake alizotakiwa kulipwa na Musiba kwa kumchafua au Musiba ndio anakuwa amepona na kuchomoka katika hayo madai ya kulipa pesa za kuchafua hadhi?
Wataalamu wa sheria hii imekaaje kwa muongozo wa kiseheria?
Wataalamu wa sheria hii imekaaje kwa muongozo wa kiseheria?