NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 11,967
- 12,009
nimefadhaika sana kwa kitendo walichokifanya Wamisri kwa kuweza kutudhalilisha namna hii 👇
View attachment 2947951View attachment 2947952View attachment 2947953
sijapata kuelewa ni nini ilikua madhumuni yao
KOMANDO YOSO, eliakeem, Mgonjwa Mtumbafu, game over, Apeche alolo, mkorinto, much know hebu kujeni hapa,,, hizi ni nini??
muchapwe ama muwachape? jua kutofautisha.Sisi hatutaki ngendembwe, acha wakuje tuwachape mabao.
muchapwe ama muwachape? jua kutofautisha.
We ni kasenge
bro... mumezalilishwa vibaya mno, ndani na nje ya uwanja. hata kuanzisha twitter battle pia mumeshindwa angalau muonekane nyi pia mpo, au lugha ya malkia ndio tatizo? 🙆🙆🙆Subiri kuona kandanda toka nchi pekee Afrika yenye timu mbili katika ligi ya mabingwa Afrika.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Subiri kuona kandanda toka nchi pekee Afrika yenye timu mbili katika ligi ya mabingwa Afrika.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
nimeona... hebu rudia tena hii statement yako saa hii nataka nicheke vizuri