AFCON 2027 kwa Kenya, Uganda na Tanzani

Umkonto

JF-Expert Member
Dec 27, 2018
2,130
3,654
Naomba kuuliza, jeTanzania, Kenya na Uganda zote hazitacheza mechi za kufuzu AFCON ya mwaka 2027?

Nauliza hivyo ili kupata uelewa tu wa mambo kwa sababu sikufuatilia kwa kina baada ya taarifa kutoka.
 
Kwa kiwanja walichocheza fainali za Afcon,hvi tumeshaanza maandalizi ya ujenzi wa viwanja,maana nimeona 2027 nchi za Africa mashariki ndio wata host mashindano...
 
Back
Top Bottom