Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,867
- 3,586
Nyumba lazima iwe ya moto yaani wakati wowote kinahappen mara wametokea wamama wa vikoba wamefuata rejesho kwa mkeo maana bidada kakopa halafu kauchuna hataki kupeleka rejesho imebidi wamama wajikusanye wawe kundi kutia msukumo maana wanajua wanaenda kukabiliana na mtu mtata.
Huku na huko mara akinamama na vijora vyao hawa hapa wametimba home kumsuta mkeo sijui alitia umbea gani uko kumbe umemfikia mhusika na sasa kimewaka wanakuja kumchamba bidada na wasivyo na dogo wamekuja na bendi yao kabisa.
au hamjakaa sawa mkeo kamuwashia moto mama wa nyumba ya jirani maana kashtukia mchezo wa mama huyo wa nyumba jirani kukutazama mumewe kwa jicho la husda
Kwangu mimi (SIO WEWE) huyu sasa ndo real waifo huyu
Huku na huko mara akinamama na vijora vyao hawa hapa wametimba home kumsuta mkeo sijui alitia umbea gani uko kumbe umemfikia mhusika na sasa kimewaka wanakuja kumchamba bidada na wasivyo na dogo wamekuja na bendi yao kabisa.
au hamjakaa sawa mkeo kamuwashia moto mama wa nyumba ya jirani maana kashtukia mchezo wa mama huyo wa nyumba jirani kukutazama mumewe kwa jicho la husda
Kwangu mimi (SIO WEWE) huyu sasa ndo real waifo huyu