Nyumba inatakiwa kuwa na moto, pakipoa inaboa!

kwann mkuu
The real man hapendi makelele.Unapaswa udumishe utulivu,amani,heshima na upendo nyumbani.Mkeo anaanzaje kukopa huku hajui atalipaje bila wewe kujua?Ni dharau na nia ovu ya kukudhalilisha.Zuia upuuzi huo asap!Kuna kipindi mwanaume unapaswa(hauombwi)kuwa mbabe na usiyetabirika kimaamuzi ili adabu itamalaki malangoni pako.Say amen!🙏
 
The real man hapendi makelele.Unapaswa udumishe utulivu,amani,heshima na upendo nyumbani.Mkeo anaanzaje kukopa huku hajui atalipaje bila wewe kujua?Ni dharau na nia ovu ya kukudhalilisha.Zuia upuuzi huo asap!Kuna kipindi mwanaume unapaswa(hauombwi)kuwa mbabe na usiyetabirika kimaamuzi ili adabu itamalaki malangoni pako.Say amen!
kila mtu ashinde mechi zake
 
Aise! kweli watu tumetofautiana sana mimi nikikutana na mwanamke mwenye kashikashi kama hizo naweza kufa napenda sana tena zaidi ya sana utulivu
 
Back
Top Bottom