Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,684
- 14,001
Kwa kuzingatia kichwa cha uzi.
- Kama kweli serikali ya Tanzania ina nia ya kutoa elimu ya katiba na kufanya Watanzania karibia wote wa nchi hii kuijua katiba yao vizuri.
Serikali haina budi kuchukua uamuzi mara moja wa kutoa elimu ya katiba kuanzia ngazi mbalimbali za elimu yetu kwa kuanza na primary education mpaka level ya University.
Serikali ichukue uamuzi wa kuchapisha nakala nyingi za katiba ya Tanzania na kuzisambaza mashuleni kote na vyuoni kote na kufanya "mafunzo/elimu/katiba yenyewe" kuwa ni takwa la lazima wanafunzi wote wafundishwe na wafahamu kwa kina.
Kuwa elimisha wanafunzi kwanza ni kuielimisha jamii kwa asilimia kubwa.
Hii ni njia bora ikitumika kama serikali ipo serious kuhusu suala la katiba ya nchi.
- Kama kweli serikali ya Tanzania ina nia ya kutoa elimu ya katiba na kufanya Watanzania karibia wote wa nchi hii kuijua katiba yao vizuri.
Serikali haina budi kuchukua uamuzi mara moja wa kutoa elimu ya katiba kuanzia ngazi mbalimbali za elimu yetu kwa kuanza na primary education mpaka level ya University.
Serikali ichukue uamuzi wa kuchapisha nakala nyingi za katiba ya Tanzania na kuzisambaza mashuleni kote na vyuoni kote na kufanya "mafunzo/elimu/katiba yenyewe" kuwa ni takwa la lazima wanafunzi wote wafundishwe na wafahamu kwa kina.
Kuwa elimisha wanafunzi kwanza ni kuielimisha jamii kwa asilimia kubwa.
Hii ni njia bora ikitumika kama serikali ipo serious kuhusu suala la katiba ya nchi.