Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

kelphin

JF-Expert Member
Dec 24, 2019
9,198
14,698
Ikiwa inakusumbua,ikiwa unataka kufahamu chochote kinachokutatiza.

Karibu
images.jpg


Nieleze kidogo kuhusu subwoofer
Je, unataka kununua, basi zingatia haya.

Zipo za aina mbili old model na digital. Siyo majina hapana ,yaani inaweza kua rising,seapiano,codjec,aborder au vyovyote Ila itakua digital au old model.

Hizo digital ni Aina ya subwoofer ambayo inamuundo wakisasa ,mala nyingi utakuta Ina (nob) kivingilisho Cha sauti kimoja tu.

Ila kinafanya multipurpose, ukibonyeza hyo hiyo nob unaweza ongeza sauti ,kuongeza bass, na mid.
kifupi mambo yote ni in one button.

Faida yake ni kuwa, aina ya power supply yake Ni ilitaka ifanane na ya home theater(Ila haijawahi[emoji2inakua na umeme mnyoofu kidogo.

Zinakua na music mkubwa na mdundo zaidi ni digital,yaani yakisasa,
lakini pia display yake ni LCD haitumii umeme mwingi.

Je utaijuaje?
Nob ya kuongezea sauti ni moja tu na zaidi utakuta button za menu na input inategemeana). Ukiigeuza nyuma ina kiplastic kidogo kilichozungushwa nati, yaani ikiwa italeta shida fundi huku nyuma hafungui mfuniko wote wa nyuma, hufungua ki plastic tu hapo nyuma ndio kimebeba card zoote na subwoofer.

Hasara zake
  1. Ikitokea imeharibu card yake hauwez kubadilisha ,sababu ndani Ina circuit Kama ya phone mafundi weeengi hawana(hatuna) technology yakuitengeneza kwahyo unaenda dukani unanunua Tena kard na si chini ya 40000.
  2. Ila ukifika unaipachika tu huangaiki.
  3. Inahitaji utulie ili uioperate maana inatumia single nob.
  4. Speaker yake ya bass huwekwa ohms ndogo ili idunde sana kwahiyo usipende kuweka sauti kubwa Sana kwa muda mrefu.

Aina ya pili ndio zile old model
Hizo zinaitwa dunda udundavyo ni nzuri kwenye uzuri wake. Yenyewe ukiingalia utakuta Ina nob yaani vile vyakuongezea sauti zaidi ya kimoja. Yaani cha master volume, bass, tweeter na mic, na ukivizungusha vinafika mwisho.

Yenyewe ndani power supply yake ni ya kawaida, inatumia mtransformer wake na diodes za kawaida. kisha umeme huingia kwenye capacitor ndio unaanza kusambazwa ndani. Yaweza kuwa Seapiano, Codjec Aborder au vyovyote. Ukiigeuza nyuma mfuniko wote unafunguka wa nyuma.

Faida yake
  1. ikizingua unaiweza kuirekebisha kiurahisi tu
  2. Zinavumilia sana
  3. Hata muziki upo pia
  4. Rahisi kuitumia
Hasara zake
  1. Display yake ni VFD kama ni seapiano hapa mbele inakioo,inavyoimba Kuna vitu vinacheza cheza kwenye kioo(hii ni kwa baadhi ya subwoofer)
  2. Muonekano wake ni wakizamani ikilinganishwa na hizi mpya

Soma hi pia
Ndani ya subwoofer panya hupenda kuishi humo, huzaliana na kuleta hitilafu kwa kukata nyaya na kula speaker.
Waya wa speaker una chumvi chumvi hivyo akiingia hauachi.

Simple way jinsi ya kudhibiti
Pale kwenye tobo kuna ki corn cha duara huwa wanakipachika unaweza kukitoa kwa kufuata mpangilio ufuatao:

  1. Chukua maji ya moto kidogo na kitambaa, kichovye kitambaa kwenye maji kisha kikande kuzunguka mduara kwa dakika tano.
  2. Kisha chukua kisu, tumia ncha yake kuingiza pembezoni mwa mduara bila kuikwajua. Huku ukiinua kidogo kidogo kuzunguka corn nzima,ukisha kitoa kitoboe vitundu vidogo kukizunguka upande wa ndani(sio Huku uliko Kanda kwa maji).
  3. Ukisha kitoa chukua waya mgumu usuke upande wa ndani kuzunguka uwazi wa duara wote mule ulimotoboa, kisuke hakikisha unaacha vyumba vidogovidogo kiasi kwamba kinaweza kupita kidore kidogo tu.
  4. Paka gundi upande wa ndani, huku ulikokua unakanda na maji kisha kibandike tena kama kilivyokuwa.

NB: Hii ni kwazile subwoofer kama pichani hapo juu, ambazo hutolea upepo pembeni kwenye kiduara. Wale zinazotolea mbele chini ni habari nyingine.

***
Kiasi chake mtanielewaView attachment 1560194View attachment 1560195

Some updates,
Je, music system yako haina bluetooth na unataka kuongezea? Easy sana na inawezekana pia, kwa mafundi ninaweza kuwaelekeza.

Lakini pia music system yako ulipenda itoe mp5, yaani picture, video inawezekana pia.
Hususani wale wenye TV za kizamani yaani unachomeka flash disk yako kwenye subwoofer, unapata mdundo alafu kuna cable itatoka kwenye subwoofer hadi kwenye TV yako.

Stay here.
More good things are here.
Welcome.

View attachment 1921368
View attachment 1921369
 
kwanini haya makitu hayatengenezeki, yaani likipona linapungua ubora, na linarudi kutoka kwa fundi na masharti kibao ya kulitumia.

na ukilitumia baada ya kipindi kifupi tu linazimika jumla.
nilinunua kama matatu hivi mpaka nilipohamia kwenye honetheatre nikasahau majanga mbali mbali.
Mkuu unatumia home theatre brand gani. Natamani kununu home theatre

Sent from my SM-J730GM using JamiiForums mobile app
 
Naomba tofauti kati ya home theater na subwoofer


Ukiacha ile tofauti ya kuwa subwoofer ni uswazi na home theater ni ushuani
Vyote Ni vifaa vya kielectronic
Vyote vinakuza nguvu ya sauti
Lakini utofauti wake Ni hu Ili hiyo subwoofer iwake iwe on. Inahitaji umeme Kama home theater.
Umeme ukishaingia kwenye subwoofer unaenda kwenye transformer .....unapunguzwa Kisha unaenda kugeuzwa kua DC ( vifaa vya electronics vingi vinatumia DC,umeme wa nyumbani Ni ac) hi (inaitwa power supply).

Baada ya hapo unaanza kutembea kwenye circuit za hyo subwoofer. Lakin kwenye home theater Ni tofauti
Power supply yake Ni tofauti yaani inatoa umeme wenye current standard na Haina gaps yaani current Ina Tembea smoothly hata umeme ukicheza (uliwahi ona taa zinafifia hasa jioni)power supply zake zinaditect Kisha zinaunyoosha

Pili Ni kwenye sauti
Ikumbukwe kitu muhimu Ni kua zote Zina amplifier ndani yaan subwoofer na home theater
Ila home theater hua Kuna integrated circuit (ic) ambazo hua wanaziprogram kwenye computer zinatengeneza sauti kusikika vile kabla yakuingia kwenye amplifier
 
kwanini haya makitu hayatengenezeki, yaani likipona linapungua ubora, na linarudi kutoka kwa fundi na masharti kibao ya kulitumia.

na ukilitumia baada ya kipindi kifupi tu linazimika jumla.
nilinunua kama matatu hivi mpaka nilipohamia kwenye honetheatre nikasahau majanga mbali mbali.
Mkuu mchina anafanya business
Kuna ic wanazitumia umo
Zinachemka mno
Ndio maana zinaungua Sana
Ila ikiwa utaweka sauti ndogo hazisumbui Sana
Ikumbukwe kua unavyoweka sauti kubwaa ic ndani zinachemka Sana
Zinapata shida kuu
Mara nyingi subwoofer zinazotumia transistor hazisumbui Kama za ic za TDA
 
Aaah miii yangu haina base cjui tatizo n nn... Na ilishaenda kwa fundi mara moja
Inaweza kua ic inayodrive hiyo speaker imekufa
Inaweza kua waya unaotoka kwenye circuit kuja kwenye speaker umekatika
Inaweza kua waya unaotoka kwenye connector ya speaker kwenda kwenye coil umekatika(panya hupenda kula Sana sababu unachumvichumvi)
Au huenda signal haiendi kwenye amplifier

Qurie chakuongeza bas nakupunguza Ni chakuzungusha?
 
Back
Top Bottom