Nionavyo Mimi: Huwezi kuwa na mwanamke mkali wasikupigie

Ukioa mwanamke mzuri jiandae kisaikolojia kuchapiwa. Mbaya zaidi midingi yenye hela ndefu ikipenda chombo chako watapenyeza rupia na mwanamke akiwa laini unachapiwa asubuhi tu. Ukioa mbaya ukidhani hatavutia wahuni nako ni yaleyale tu kuna muhuni atavutiwa naye na atataka kumuonjea mpiko. Mbaya zaidi akipata mimba ya muhuni hutajua haraka ni mpaka baadae sana itakuja kugundulika mwanamke alichapwa nje akanasa mimba na kuzalia ndoani. Mtoto hatafanana na baba labda afanane na mama ili kuficha soo. Ukute nyie wote ni weupe mtoto atoke ni mweusi hapo siri itavuja haraka. Baba na mama ni weusi mtoto atoke ni mweupe hiyo nayo imekaaje? Ukioa bora ujue hauko peke yako kuna wengine pia wanamchakata mke wako kwa siri, qmmamae nikigundua mchezo huo kuna mawili, jela na hospitalini sitaki kwenda, nafukuza mke au naondoka nimuachie uhuru achakatwe tani yake isiwe taabu
 
Najiuliza kwanini? Yaani anaweza kuwa mwaminifu mwanzoni, ukampa Kila kitu na bado wanapigwa na watu. KULIKONI?

Kuna mtu aliwahi kusema kila mtu ana price tag/price quotation yake.
Ulimpata kwa vile kwa wakati huo ulifikia level yake, kumbe baadaye anakuja mwingine anapandisha dau anapandisha level ya huyo mwnaamke. Imagine una pisi kali ila huna uwezo wa kumnunulia gari, ila akikatiza mitaa anakutana na pedeshee anamwambia twende yadi kesho ukachague your dream car. Na wewe vaa kiatu cha huyo mwnamke.
 
Sababu kubwa ya jupigwa nini ? Inajulikana wasichana wakiwa mtu kueleweka wanatulia kuwa royal shida hutokea njianii sababu kubwa nini ??kosa ni wanaume kuanza cheat....wao wanavumilia ......wakishindwa hulipa kisasi kikubwa....na kuhamia upande wa pili..mmmm mpo ?
Royal ni nini? Acheni kutomba lugha ya beberu
 
Mwanamke yoyote ana weak points zake ambazo kidume yoyote akimjulia anakula mzigo kirahisi sana. Hata hao tunaowaona ni wife material hua kuna sehemu wakikamatika wanaliwa vizuri tuu.

Mimi mwanamke nayemuona mjanja au "wife material" ni yule ambae hata akiliwa analiwa kwa siri sana na huku anaendelea na majukumu yake kwenye ndoa kama kawaida. Sio hawa ambao akiliwa tu anaanza kiburi na madharau hao nawaona washamba tu.
 
Sababu kubwa ya jupigwa nini ? Inajulikana wasichana wakiwa mtu kueleweka wanatulia kuwa royal shida hutokea njianii sababu kubwa nini ??kosa ni wanaume kuanza cheat....wao wanavumilia ......wakishindwa hulipa kisasi kikubwa....na kuhamia upande wa pili..mmmm mpo ?
Kwa hiyo kila wanao pigiwa walicheat? Hivi unajua nice guy wanaongoza kupigiwa na kupinduliwa....... na hamna wanaume wenye bahati mbaya na mapenzi kama nice guy na mara zote huwaga waaminifu.
 
Mojawapo.....sababu sio complehensive conclusion
Ujue hata zamani wanawake walikuwa wana chepuka na ndio maana wazee wazamani wana misemo yao
1.Kitanda hakizai haramu.
2.Hawala hana talaka au Mtalaka hatongozwi.
Hii yote inaonyesha hata zamani wanawake walikuwa wanachepuka.

Sasa kizazi hiki kilicho haribiwa na mfumo mbovu wa malezi wa movement za haki sawa,social networks,mafunzo ya hovyo ya kwenye TV,kupoteza usichana angali akiwa mdogo na kudate na wanaume hovyo hovyo ,unategemea nini. Ukizingatia siku hizi jando na unyago hatuzipi thamani, hapo haijalishi mwanamke awe mzuri au mbaya utagongewa tu.Sema ukioa demu wa kawaida unapunguza risk ya kugongewa.

Siku hizi kuna lundo la vijana ambao wanapenda kulelewa hawaangalii sura wa la uzuri as long ana K na anakula bure. Demu ambaye hujamkuta bikra, husijiaminishe sana kwamba hagongwi nje ya ndoa cha msingi husimfuatilie.

Ila wanake wasiogogwa nje ya ndoa wapo,ila sizani kama wanavuka 30%.
 
Back
Top Bottom