Nina wazo la biashara japo la naliuza

dr namugari

JF-Expert Member
Nov 19, 2022
9,648
16,334
Kwanin naliuza ! Nauza kwa sababu nimetumia pesa zangu kufatilia na kupoteza muda mrefu nikifatilia na Sasa Ni biashra nzuri San na in pesa nzuri

Haihitaji efd mashine wala tra kukufatilia Zaid sna Ni leseni yako tu itakuweka salama na mtaji wa angalau milion 3 na ukiwaa Zaid utapiga Zaid pesa

Biashara inafanywa na watu wasionna elimu kubwa San japo na nimechunguza nikabaini kahama na tabora utapiga peza za maana

Kama mtu Yuko interested aje dm tuyajenga

Kuna mwalimu mmoja nimempa hiyo dili Hadi leo ananishukuru Hadi anatamani kuacha Kaz ajikite Zaid kwenye biashara hyo

Niwaonye tu wazo la biashara hamuwezi kulipata humu kiarahisi rahisi na wafanya biashra wengi Ni wasiri sna usitegemee atakule gesha dili kiarahisirahisi
 
Kwanin naliuza ! Nauza kwa sababu nimetumia pesa zangu kufatilia na kupoteza muda mrefu nikifatilia na Sasa Ni biashra nzuri San na in pesa nzuri

Haihitaji efd mashine wala tra kukufatilia Zaid sna Ni leseni yako tu itakuweka salama na mtaji wa angalau milion 3 na ukiwaa Zaid utapiga Zaid pesa

Biashara inafanywa na watu wasionna elimu kubwa San japo na nimechunguza nikabaini kahama na tabora utapiga peza za maana

Kama mtu Yuko interested aje dm tuyajenga

Kuna mwalimu mmoja nimempa hiyo dili Hadi leo ananishukuru Hadi anatamani kuacha Kaz ajikite Zaid kwenye biashara hyo

Niwaonye tu wazo la biashara hamuwezi kulipata humu kiarahisi rahisi na wafanya biashra wengi Ni wasiri sna usitegemee atakule gesha dili kiarahisirahisi


Unawaweka kwenye kilengeo uwapige Kaka?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom