princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,602
- 14,485
Fanya kama umetoa Sadaka/Dhaka
toeni sadaka jamani
toeni sadaka jamani
Alal badri ndio inamfaa huyoWakuu nakuja kwenu kuomba ushauri juu ya hatua za kuchukua juu ya huyu binti wa mkoani!
Ni binti ambaye sijawahi kuonana naye ila tulifahamiana kupitia mtandao maarufu wa facebook.
Sasa jana nikamchek kuwa nimemmiss na ningependa anitembelee, akasema nimtumie nauli.
Baada ya kumtumia nauli akachenji lugha mara ooh, naogopa, mara ooh tusogeze mbele.
Sasa kinachoniuma ni kwa nini kauli hizi anazitoa baada ya kulamba pesa yangu? Angesema hivyo basi huku karudisha pesa yangu.
Pesa hajarudisha na kanzu amenipiga.
Sasa wadau nimchukulie hatua gani huyu kilaza?
YAANI NASHANGAA BADO WATU WANAPIGWA NA MAMENI WENYE PROFILE ZA KIKE FB/INSTA/BADOO...JAMAA NI ZWAZWA.Umeuziwa profile picture huyo ni mwanaume Fanya kama umetoa sadaka hivi.
Tupo mkuu, weka namba nikutumie nauli, usipokuja wala sintokuanzishia uziHivi watu kama ninyi huwa mnajificha wapi mbona mimi huwa hatukutani?
mamaaaa! na wewe unataka utumiwe naul?Hivi watu kama ninyi huwa mnajificha wapi mbona mimi huwa hatukutani?
Na akifika yupo ahelaDuh afadhali umetuma nauli endelea kubembeleza huenda atakuja
nikutumie nauli my dear?Fanya kama umetoa Sadaka/Dhaka
toeni sadaka jamani
Na akifika yupo ahela