Nimfanyeje huyu binti wa mkoani? Kaniomba nimtumie nauli aje, baada ya kumtumia kanichenjia!

Wakuu nakuja kwenu kuomba ushauri juu ya hatua za kuchukua juu ya huyu binti wa mkoani!
Ni binti ambaye sijawahi kuonana naye ila tulifahamiana kupitia mtandao maarufu wa facebook.
Sasa jana nikamchek kuwa nimemmiss na ningependa anitembelee, akasema nimtumie nauli.
Baada ya kumtumia nauli akachenji lugha mara ooh, naogopa, mara ooh tusogeze mbele.
Sasa kinachoniuma ni kwa nini kauli hizi anazitoa baada ya kulamba pesa yangu? Angesema hivyo basi huku karudisha pesa yangu.
Pesa hajarudisha na kanzu amenipiga.
Sasa wadau nimchukulie hatua gani huyu kilaza?
Umeibiwa Kizembeee Halafu Utakuwa Bado Mgeni Katika Masuala Ya Mapenz
 
Usilie hiyo ni kawaida kwenye biashara za gizani.
Wenzio ukipigwa kwenye biashara ya bangi hawapigi makelele au kwenda polisi. Umeona sasa unavyochekwa hapa?
 
Ripoti kwenye kampuni husika kuwa ulikosea kutuma hela halafu na wewe bhana unakuwaje kilaza kiasi hicho na huu ugumu wa maisha unatumia mtu pesa umekutana nae Facebook tu???shame on you unatudharirisha na ugwadu wako
 
Funga safari ufuate papuchi au pesa yako. Akili mkichwa. Hivi ilikuwa kiasi gani vile?

Wakuu nakuja kwenu kuomba ushauri juu ya hatua za kuchukua juu ya huyu binti wa mkoani!
Ni binti ambaye sijawahi kuonana naye ila tulifahamiana kupitia mtandao maarufu wa facebook.
Sasa jana nikamchek kuwa nimemmiss na ningependa anitembelee, akasema nimtumie nauli.
Baada ya kumtumia nauli akachenji lugha mara ooh, naogopa, mara ooh tusogeze mbele.
Sasa kinachoniuma ni kwa nini kauli hizi anazitoa baada ya kulamba pesa yangu? Angesema hivyo basi huku karudisha pesa yangu.
Pesa hajarudisha na kanzu amenipiga.
Sasa wadau nimchukulie hatua gani huyu kilaza?
 
wewe na yeye nani kilaza ? from no where unamtumia hela mtu ambaye mmekutana mitandaoni ? tena facebook ? what a shame.... wengine ni midume unakuta inajifekisha ni madem, maisha magumu yanajilegeza ili yaafanikiwe kupata hela....mkuu umeliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom