Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Ulienda chuo kufata nini au ndio ulienda kutafuta sup
 
Whether u think u can or U cannot u'r right cha msingi kapige Sup.. Utasapua tu mungu Atakusaidia sababu umejua kosa Lako
 
Mkuu nashukuru kwa kumtia moyo dogo!!Hehehehe..Mimi nilikua na sup 6 kama sikiosein enzi hizo....tena kila MTU chuoni alikua anaongelea kuhusu mwanafunzi mmoja kua na supp 6...na Mimi nikaenda kucheki matokeo ya Huyo MTU..bahati nzuri chuoni hawaweki majina badala ake wanatumia examination numbers....kwenda kucheki nikajikuta ni Mimi bhana....

Kusema ukweli nilipanick kidogo lakini sikujilaumu sana maana nilikua siko serious na masomo maana muda mwingi nilikua nashinda mjini nafanya mishe za kupata pesa...kwahiyo nilijikuta mwaka wa pili wote nilingia lecture Mara chache sana.Tena imagine engineering!!!

Lakini baada ya hapo nikapanga mkakati wa kusapua....nilifanikiwa kusapua NNE Nina carry mbili.eventually zote nikazisapua....

Wahenga wanasema maisha hayana formula....kwenye kazi pamoja na cheti changu kua lower second..nilikua naitwa kwenye interview nyingi sana pamoja na wale mabidii..wenye first class degrees...lakini nimekua nikipata offer za kazi....kuwazidi wale....embu fikiria kampuni kama songs..pan African energy....

Kwahiyo dogo asikate tamaa.....cha msingi ni kujipanga tu...atatoboa tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuuu 😊
 
Pole, ishantokea hii. Niko second year kuingia 3rd nlikua na Sup 5 tena 6 kabisa moja nika appeal ikatoka zikabaki 5 (QM 1& 2, Business Law, Corporate finance na managerial economics ilikua ni balaa vitu hizo kwa kilaza wa namba mimi usiombe.

Weka malengo amua kufaulu so soma sana utapass na kuzitoa zote. Mi nlikaza sana nkachomoa zooote nkaingia 3rd year super clean. Kilichonfanya kufaulu pia ni kuamini kuwa naweza na kilichotokea ni makosa tu na uzembe. Nkakubali makosa nkakubali kujifunza upya kwa umakini. Kaza buti chomoa songa very possible.
Daah huyu ni mimi wiki ijayo nna sup 5 na carry 2..ila naamini nitaziclear.
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
hiyo haina ushauri ,.....mtanashati pita huku🎶🎵
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Uko mkoa gani nikupe referal kwa Mwanasaikolojia.
 
Wakuu naombeni mnipe ushauri wa kunijenga kisaikolojia ,nimepata supplementary 5 katika masomo nane ninayo soma

Hapa nilipo sina amani kabisa yani ,najiona mkosaji mkubwa sana


Najaribu kutafuta visingizio kwa mzazi lakini nakosa

Natamani kusitisha masomo ili mwakani niombe upya kozi nyingine au kozi ile ile ili mradi nitengeneze cheti kisafi ili huko mbeleni nisisumbuke


Katika maisha yangu nilikuwa sijawahi kukutana na situation kama hii,kwa kifupi sijawahi kufeli sasa kwa marks nilizopata sasa naona kama nimedharirika sio uwezo wangu huo ,to be honest sikuwa serious katika masomo ,sasa chuo kumbe kila kitu kinahesabiwa kuanzia assignments mpaka test bila kusahau UE


Sasa mm assignments nilikuwa nafanya kimzaha mzaha ili mradi nikusanye nionekane nimefanya kazi


Najuta kwa kweli hata hamu ya kula sina ,please ndugu zangu wapendwa wa JF nipeni ushauri jamani tena mbaya zaidi masomo niliyopata sup ni magumu sana kwangu kusapua hivyo basi nahisi naenda kuya carry yote matano aisee roho inaniuma saana
Chuo sio kwa ajili ya kila mtu

Tafuta kingine cha kufanya
 
Mnashangaa sapu 5?? Ulizeni wanafunzi waliohamishwa toka st jose ile ya wahindi wakapelekwa sua. Sio poa hata kidogo, mtu mmoja sapu 11 wengine mbaka 15....ingawa zilikua za semester tofaut tofaut kwa vile walikua wanasoma masomo kwa muda wa ziada kufidia ambacho hakikua wamefundishwa.....wapo walichomoa na wakamaliza wengine wako vtengo sahiv....wengne ndo kama hvo waliachaaa
 
Back
Top Bottom