You waste your time to argue with gambaz.Ritz unaijua Mbugani wewe! Tazama utaelewa tu
You waste your time to argue with gambaz.Ritz unaijua Mbugani wewe! Tazama utaelewa tu
Utaendela kukubali hata kwenye mengine! Taratibu i can see you come to your senses! Haha
Huko Tanga wewe una andaa maandamano lini kamanda
Playing game mind as usual Pasco.
Uchaguzi Mkuu 2015 ukiisha kauli ya gwiji Jenerali Ulimwengu itatimia hata kwako pia...utaweza kuzikumbuka akili ambazo Kwa sasa umezisahau Kwa sababu ya yule mgombea anayelazimisha picha za mazoezi zitokee magazetini!
Kwa sababu ya heshima ya taaluma yetu (you and I share that at least), huwa nakuombea usizisahau moja Kwa moja.
Kwa ruhusa yako.
Mkuu Ruta, asante kwa hii, kwanza naomba kipimo cha kuchokwa kati ya mtualiyegombea mara 4, akakataliwa na Watanzania, na yule aliyegombea mara moja akafanyiwa hila!.Kwa swala la kuchagua nani kushika usukani wa kugombea Urais ndilo jambo litakalo wasambaratisha UKAWA!
Kwanza Tujiulize UKAWA ni chama cha Siasa?
Mtu an aye faa kuwa Rais ni Lipumba lakini sidhani kama Chadema na Bavicha watakubali Lipumba kuwaongoza!
Slaa amesha chokwa kabisa na Mbowe hana sifa kabisa!
Mkuu Nyota ya vyepe, asante kukumbushia hili la nyomi na kushinda!, kiukweli nimezungumzia tuu nyomi na nakubaliana na wewe, nyomi ni nyomi na kushinda ni kushinda, laiti hizo nyomi kwenye mikutano ya Chadema, zingekuwa ni za wapiga kura!, Chadema zamani ingeshatinga Ikulu!.Mkuu Pasco sijaelewa unazungumzia nyomi au hoja? Maana nyomi ni jambo moja na kushinda uchaguzi ni ishu nyingine kabisa japo vinashabihiana.
bro, sidhan kama hilo litakuwa tatizo sana kwani tukumbuke hata samweli sita alitaka kupewa nafasi ya kugombea uraisi kwa tiketi ya CDM, hivyo cjui tatizo liwe kwa vyama vingine! lkn naamini wakisimamisha mtu mmoja wanachukua dola kwan. ahsante,
Mkuu Ruta, asante kwa hii, kwanza naomba kipimo cha kuchokwa kati ya mtualiyegombea mara 4, akakataliwa na Watanzania, na yule aliyegombea mara moja akafanyiwa hila!.
Pili nakubaliana ndani ya UKAWA kwa sasa, mwenye sifa zaidi za kuwa mgombea mmoja ni Prof, Lipumba, kwa sababu ndie msomi kuliko wote!, ila kama ni uprofesa tuu, kuna Profesa Beregu, kuna Profesa Safari, Kuna Dr. Nderakindo Perpetua, na labda kuna maprofesa wengine kibao ambao wako tayari, wenye rekodi safi za kutokukataliwa!, kufaa kuwa rais ni jambo moja, kukubalika na pande zote ni jambo jingine na kubwa kuliko ni kuchagulika na Watanzania, jee anachagulika?!.
Pasco
Mkuu Nyota ya vyepe, asante kukumbushia hili la nyomi na kushinda!, kiukweli nimezungumzia tuu nyomi na nakubaliana na wewe, nyomi ni nyomi na kushinda ni kushinda, laiti hizo nyomi kwenye mikutano ya Chadema, zingekuwa ni za wapiga kura!, Chadema zamani ingeshatinga Ikulu!.
Pasco
kaka Tumaini heshima mbele naomba msaada wako CCM mwaka 2005 walipata kura karibu mil.9 na mwaka 2010 wakapata milioni 5 . walipoteza close to 4 million votes over 5 years. my question to you is where did they exactly loss all these votes from(geographically)?? ktk research yenu mlioifanya na je maeneo gani yanaitaji mkazo ili kuzipindua hizo million 4 zije upande wenu kwa sababu naamini 2015 dis satisfied voters kwa upande wa ccm wataongezeka especially kwa hili suala la katiba.
Kwa swala la kuchagua nani kushika usukani wa kugombea Urais ndilo jambo litakalo wasambaratisha UKAWA!
Kwanza Tujiulize UKAWA ni chama cha Siasa?
Mtu an aye faa kuwa Rais ni Lipumba lakini sidhani kama Chadema na Bavicha watakubali Lipumba kuwaongoza!
Slaa amesha chokwa kabisa na Mbowe hana sifa kabisa!
Vipi mkuu umeishaacha ile biashara yako ya unga? Ama wachina bado wanakusaka?Mkuu Pasco
Chadema walifanyia mkutano wao uwanja wa Mbuguni sijui kama unajua ukubwa wa huo uwanja.
Hakuna chama chochote cha siasa kilichofanya mkutano uwanja wa Mbugani kikakosa watu.
Kwa kukufahamisha tu uwanja wa mbugani ukubwa wake ni nusu ya uwanja wa kidongo chekundu, nimeshangaa umefanya reference ya kanda ya ziwa kupitia uwanja mbugani chini ya camera za ITV.
Halafu umesahau kuwa kuna vyama viwili Chadema na UKAWA sijui unaongelea combination gani wakati urais unatakiwa na Prof. Lipumba na Dr.Slaa.
Maswali kama haya mara nyingi kama sio mara zote huwa hayajibiwi mkuu!!!!
Na hii ni shida kubwa sana kwa chama hiki na vingine ukiuliza maswali yanayotaka usumbufu wa akili utachukiwa na kuitwa majina kama sio kutukanwa!!!!
mohamed mtoi, Tumaini Makene mmeitwa na politiki
Maswali kama haya mara nyingi kama sio mara zote huwa hayajibiwi mkuu!!!!
Na hii ni shida kubwa sana kwa chama hiki na vingine ukiuliza maswali yanayotaka usumbufu wa akili utachukiwa na kuitwa majina kama sio kutukanwa!!!!
mohamed mtoi, Tumaini Makene mmeitwa na politiki
Kwa swala la kuchagua nani kushika usukani wa kugombea Urais ndilo jambo litakalo wasambaratisha UKAWA!
Kwanza Tujiulize UKAWA ni chama cha Siasa?
Mtu an aye faa kuwa Rais ni Lipumba lakini sidhani kama Chadema na Bavicha watakubali Lipumba kuwaongoza!
Slaa amesha chokwa kabisa na Mbowe hana sifa kabisa!
Mkuu,bro, sidhan kama hilo litakuwa tatizo sana kwani tukumbuke hata samweli sita alitaka kupewa nafasi ya kugombea uraisi kwa tiketi ya CDM, hivyo cjui tatizo liwe kwa vyama vingine! lkn naamini wakisimamisha mtu mmoja wanachukua dola kwan. ahsante,
Tuliza kipila Punga, wewe sio msemaji wala Mwana UKAWA kuwachagulia Mgombea.
W
Dunia kweli kigeugeu, CUF walifunga ndoa takatifu na CCM Zanzibar na sasa bara wanatarajia Kufunga ndoa na UKAWA sasa ni wachumba tu!
Kweli hakuna adui wa kudumu hapa ardhini!