Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,537
- 113,677
Wanabodi,
Nimeangalia Taarifa ya habari ya ITV, saa 5:00 usiku huu, kiukweli Nimekubali Matokeo!, UKAWA Kanda ya Ziwa ni Noma!, hii combination ya JJ. Mnyika na Salum Mwalimu, ni combination ya hatari sana kwa uhai wa CCM Kanda ya Ziwa.
Kwa jinsi nilivyoushuhudia umati uliojitokeza, nairudie tena ile kauli ya kuwa Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!
Sasa ikitokea na Kanda ya Ziwa, CCM ikachokwa mpaka basi, naomba kukiri, kwa uchaguzi wa 2015, kazi itakuwa ni rahisi sana, ni kama kumsukuma tuu mlevi!.
Kanda ya Kaskazini, waliisha kata shauri siku nyingi, kuwa CCM Basi!, ila kura za Kanda ya Kasikazini sio decisive kwa sababu kanda hiyo sio determinant ya nani anakuwa rais wa nchi hii, lakini kwa upande wa Kanda ya Ziwa, kura za kanda ya Ziwa ndio zina determine, ni nani anakuwa rais wa Tanzania!, hivyo ni decisive votes!.
Kazi kubwa ya Wana UKAWA ni changamoto ya mgombea mmoja atakayekubalika pande zote, mwenye uwezo wa kuchagulika!. Ikitokea CCM wasimsimamishe yule "jamaa yangu!", na UKAWA, ikamtwaa, ikamsimamisha mgombea mmoja strong!, 2015 hili "dubwana" linakwenda chini!.
Hongera Mnyika, Hongera Salim Mwalimu.
Wasalaam
Pasco.
Nimeangalia Taarifa ya habari ya ITV, saa 5:00 usiku huu, kiukweli Nimekubali Matokeo!, UKAWA Kanda ya Ziwa ni Noma!, hii combination ya JJ. Mnyika na Salum Mwalimu, ni combination ya hatari sana kwa uhai wa CCM Kanda ya Ziwa.
Kwa jinsi nilivyoushuhudia umati uliojitokeza, nairudie tena ile kauli ya kuwa Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!
Sasa ikitokea na Kanda ya Ziwa, CCM ikachokwa mpaka basi, naomba kukiri, kwa uchaguzi wa 2015, kazi itakuwa ni rahisi sana, ni kama kumsukuma tuu mlevi!.
Kanda ya Kaskazini, waliisha kata shauri siku nyingi, kuwa CCM Basi!, ila kura za Kanda ya Kasikazini sio decisive kwa sababu kanda hiyo sio determinant ya nani anakuwa rais wa nchi hii, lakini kwa upande wa Kanda ya Ziwa, kura za kanda ya Ziwa ndio zina determine, ni nani anakuwa rais wa Tanzania!, hivyo ni decisive votes!.
Kazi kubwa ya Wana UKAWA ni changamoto ya mgombea mmoja atakayekubalika pande zote, mwenye uwezo wa kuchagulika!. Ikitokea CCM wasimsimamishe yule "jamaa yangu!", na UKAWA, ikamtwaa, ikamsimamisha mgombea mmoja strong!, 2015 hili "dubwana" linakwenda chini!.
Hongera Mnyika, Hongera Salim Mwalimu.
Wasalaam
Pasco.