Nilikutana na mwanamke, kwenye uume kumekuwa na hali ya usaa

Bora enzi za uanafunzi, mambo yanakua mengi, utu uziman ni aibu sana.
Wanawake hawalalamiki ila huwa wana washwa washwa plus kiharufu cha samaki
Utu uzimani sijawah kupata hao jamaa,ila chuo vilinipiga mara nyingi hadi nikawa najiuliza kama huko mbeleni nitaweza kuzalisha kweli maana nilisoma ukiugua sana inaweza athiri uwezo wa kuzalisha, gono ilikua inapiga hata ukivaa ndom badae nikawa nawaogopa madem sema hio ilikua kenya, huku bongo haijanisumbua sana ,madem wa kenya na uzungu mwingi ila gono kama lote
 
Utu uzimani sijawah kupata hao jamaa,ila chuo vilinipiga mara nyingi hadi nikawa najiuliza kama huko mbeleni nitaweza kuzalisha kweli maana nilisoma ukiugua sana inaweza athiri uwezo wa kuzalisha, gono ilikua inapiga hata ukivaa ndom badae nikawa nawaogopa madem sema hio ilikua kenya, huku bongo haijanisumbua sana ,madem wa kenya na uzungu mwingi ila gono kama lote
Wachfu nasikia hawajioshagi kwa maji.wanatumia tissue
 
Itakua kweli asee, mana sio kwa kupigwa na gono vile, gono hata ndom halisikii kitu ambacho bongo sikuwahi shuhudia,,,,ila naona sasa yale magono yao ndo na bongo yameingia sasa wanayaita uti kali
Ma she siku hiz full kunukia full kupendeza ila baba usiombe, wana magono balaa..nje nje yan gusa unase
 
Habari Wadau, kama wasemavyo mficha maradhi kifo humuumbua, kwa namna moja huenda kuna mtu ashawahi kupitia changamoto kama hii anaweza nipa ushauri?

Nilikutana na mwanamke baadae nikasikia hali ya muwasho, katika uume wangu nikaenda dukani nikanunua Azuma nikanywa, ila baadae kwenye kichwa cha uume vikatokea vipele vingi vingi ambavyo vikawa vinatoa maji maji meupe, ikabidi niende hospital kupima sikuwa na ugonjwa wa zinaa ila Dr akasema wanipige sindano zile tano za cetr.... na dozi ya Dox ya siku tano.

Hali Musasho imeisha changamoto niliyonayo ni uume kwenye kichwa ngozi yake imekuwa na rangi yenye kama hali ya usaa usaa nimetumia iodine kukifuta wiki sasa, unakifuta baada ya muda hilo futa kama usaa linarudi na linaseleleka kushuka chini ya kichwa cha uume?.

Nimebadilisha dawa nikakisafisha kwa kutumia hydrogen peroxide kidonda chote; nikaweka sehemu yenye ki mchubuko nikainyunyizia dawa lakini asubuhi nimeamka ile hali ya ngozi kuwa na futa imerudi tena msaada wenu tafadhali..

Ajali kazini.
Si NDIYO mnasemaaga hamli pipi na ganda haya Sasa hayo ndo matokeo

Ludi hospital
 
Utu uzimani sijawah kupata hao jamaa,ila chuo vilinipiga mara nyingi hadi nikawa najiuliza kama huko mbeleni nitaweza kuzalisha kweli maana nilisoma ukiugua sana inaweza athiri uwezo wa kuzalisha, gono ilikua inapiga hata ukivaa ndom badae nikawa nawaogopa madem sema hio ilikua kenya, huku bongo haijanisumbua sana ,madem wa kenya na uzungu mwingi ila gono kama lote
Sisi ambao tunazeeka na hatujapata tunashukuru kwa kweli, aendelee kututetea.
 
Pole mkuu
Aliye kutibu alikutibu randomly,hakukutibu kwa syndomic management. So nenda hospital kubwa utapata matibabu sahihi
 
Inaweza kua ni pangusa inakutesa kwa kua umesha tumia dawa jipe muda kuona maendeleo yake

Hakikisha unabadilisha boxer kwa siku hata mala 3 ilikuondoa bacteria wanao kua kwenye maji maji

Toa hofu kichwani hii itakusaidia usiguse guse uume wako (to heal the wound you must stop scratching it)

By the way vip Hali Yako unaendeleaje mkuu?
Screenshot_20240213-155507.png
 
Inaweza kua ni pangusa inakutesa kwa kua umesha tumia dawa jipe muda kuona maendeleo yake

Hakikisha unabadilisha boxer kwa siku hata mala 3 ilikuondoa bacteria wanao kua kwenye maji maji

Toa hofu kichwani hii itakusaidia usiguse guse uume wako (to heal the wound you must stop scratching it)

By the way vip Hali Yako unaendeleaje mkuu?
View attachment 2902851
Oyaaa utamua huyo jamaa kwa pressure😂😂😂
 
Back
Top Bottom