Babu wa mchongoHapana mjukuu, nipo tu hapa kama mpitaji kuangalia baadhi ya hoja za watu humu, sio kufarijiwa mkuu,
Fungua PM...kuna kitu nataka nikushauri babuWala hata, uwe na jpili njema mjukuu
We ulinimalizia pesheni yangu afu unataka kummalizia na huyu mdogo wangu pia?Fungua PM...kuna kitu nataka nikushauri babu
Nimekubali.. NjooNimekuwa wa mchongo tena? We si uligoma nisikukague lakini?
Kikawaida mke anahamia kiumeni...Nimekubali.. Njoo
Halafu ukute ndio Unique Flower kaamua kuja kivingine .
Anyways kama ni babu kweli kuwa makini sio kila unaemuona kwenye dp ndie uhalisia wa muhusika.
Usipokuwa makini pesa ya mafao yote utaishia kuhonga kwa kibabu mwenzio kinachojifanya binti.
Humu hakuna pisikali kuna maajuza, mashangazi na masingle mama yanayotafuta second chance in life.