Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,512
- 40,610
Watoto wa mjini na mafaoLabda unajua nitakutapeli🤣🤣🤣
Watoto wa mjini na mafaoLabda unajua nitakutapeli🤣🤣🤣
Babu anaruka viunzi Yani🤣🤣Watoto wa mjini na mafao
ebu muonyeshe hilo guuBabu anaruka viunzi Yani🤣🤣
Guu nitaanzia mbali, huyu dawa yake namuonyesha dako direct....Kama hajaacha Kadi🤣🤣ebu muonyeshe hilo guu
We mkorofiGuu nitaanzia mbali, huyu dawa yake namuonyesha dako direct....Kama hajaacha Kadi🤣🤣
Umekuja kutapeli au??Asante sijaja kutafuta mchumba humu, 👐
Waoo ila kama wewe ni Babu naunataka kampani vizuri sana mie nimefurahi kupata babu yangu maana SinaNinaishi na wajukuu wangu, bibi yenu alishakufa 2017 na cancer, nipo pekee yangu ila wajukuu wananipa furaha sana,
Na mfanayakazi pia wakuni saidia
😆😆😄😄😄Tutajuaje wewe ni Babu kweli??Hapana kuchangia hoja, na kupata madini mbali mbali ninvyozidi kuusukuma uzee wangu,
Mimi si tapeli
Hahahaa Sasa hutaki nikuite BabuOh sawa sawa Asante kwa kujali, rafiki
Nimetosheka sana hapa nilipo, 👐👐