Desturi ya chizi ni kuona wengine wote machizi.Unikome mtoto uliyelaaniwa na ukoo
Wewe ndio mjalaana maana umenianza mwenyewe so aliyelaaniwa niwewe sio mie na chizi ni familia yenu na ukoo wenu hata mke wako ni mjalaanaDesturi ya chizi ni kuona wengine wote machizi.
Halkadhalika na mja laana kuona kila mtu kalaaniwa pia.
Wanadai mie ndio wewe hapoId nyingine 🤔 kivipi
Kasema eti kafichiwa password ya benki na watoto zake so hadi umjue huyo mtoto🥰 Mi nataka nijue tu kama pension bado ipo au ndo????🤒
Kama ilivyo ya kwako. Hatuchekani.Wewe ndio mjalaana maana umenianza mwenyewe so aliyelaaniwa niwewe sio mie na chizi ni familia yenu na ukoo wenu hata mke wako ni mjalaana
🤣🤣🤣Kaz ipoKasema eti kafichiwa password ya benki na watoto zake so hadi umjue huyo mtoto
Karibu Babu.ShikamooWakuu za sahizi,
Mimi babu yenu nimeamua kujiunga nanyi leo, hii
Baada ya kuuona huu mtandao ukipewa support kubwa sana na watu mbalimbali
Mimi nime staafu kazi X niliyoitumikia kwa mika 35, mwaka 2016 rasmi hivyo nalea wajukuu tu,
Ningependa mnipokee wanajukwaa
Natanguliza shukran, kwenu ,
Muwe na weeknd njema
NakaziaHalafu ukute ndio Unique Flower kaamua kuja kivingine .
Anyways kama ni babu kweli kuwa makini sio kila unaemuona kwenye dp ndie uhalisia wa muhusika.
Usipokuwa makini pesa ya mafao yote utaishia kuhonga kwa kibabu mwenzio kinachojifanya binti.
Humu hakuna pisikali kuna maajuza, mashangazi na masingle mama yanayotafuta second chance in life.
Mwanangu ameifunga yupo humu jamiiforums kwanzia 2014 yy ndo ameniunga humu mjukuu wanguBabu una moto. Nani kakufundisha kufunga PM?
Useme hii ni back up ya id gani? Hatutaki kujichanganya huko Pm
View attachment 2637142
Mbona kama vile unanichimba beat babu?Kuna kukosea mjukuu, wangu