Uzi wako unaonyesha kua umesha kua na maamuzi yako tayari kwenye hilo suala,Mimi sio mtu wa kusikiliza maneno ya watu sana, sitaki kumuacha wala nini mwamba nimefall in love.
Umemaliza kila kitu hapa Dada,kumbe JF bado ina watu aisee,Big up kwakoMke atakuwa wako, atakupenda wewe, atakufurahisha wewe, atakuudhi wewe, akizingua atakuchosha wewe, kama ni msaliti atakusaliti wewe, etc. etc.
Do what you think is best for you, usifanye maamuzi kwa ushawishi wa kina anonymous. Siku ukija kulia hitojua umlaumu nani.
Kama unaona anakufaa, muoe, kama unaona hakufai, muache kila mmoja wenu atafute anaemfaa!
Mwanamke huwa anamzalia Mwanaume anaempenda tu especially kabla ya ndoa.
MTOTO NI KIUNGANISHI KATI YAO.
Kwanini ujibebeshe mizigo isiyokuwa na ulazima? Halafu tambua kuwa kulea mtoto ambae sio wako kuna changamoto sana.
PambanaZaidi/CottonandMo
Nimekuelewa mkuu. Nani ni kweli nina huruma fulani hivi kwake.
Ana mtoto tayari. Anaonekana ni mtu ambae kwa sasa anataka ku settle. Ratiba yake Iko tight sana na akitoka jioni tunakutana kuruka na wengine sidhani.Ni
Ni kweli nalifahahamu hilo kabila la hapo kaskazini lenye tabia hiyo, ambalo ni wale wenzetu wenye jina lenye asili ya nchi za nje. By the way tabia ya kabila fulani haisadifu sana msimamo wa tabia ya mtu. Wewe ndiye unayemjua vizuri mtu wako tabia yake, unahisi ni mtu mwenye mapepe kwamba anaweza akawa na tabia kama hiyo kweli?
Kama ni mwaminifu na mnaaminiana, mnapendana na unahisi kwamba hawezi akabadilika ufuate moyo wako.
Mimi ni mhanga pia wa mwanamke wa hilo kabila, tulipendana sana kiasi cha kupanga kumuoa lakini kabla hatujafika huko tulikuja kuachana kufuatia sababu hiyohiyo ya kugawa huko na mimba akaipatia hukohuko.
Kama sometimes anaonekana ana mapepe na anaweza akagawa drop it, not worth it!!
Bado ndo nachakata possibilities kichwani.Uzi wako unaonyesha kua umesha kua na maamuzi yako tayari kwenye hilo suala,
Sasa hapa tukushauri nini tena?
Nikiamua kuwa sitamuoa nitamwambia ukweli mapema.Fanya maamuzi yako mwenyewe hivi vichwa vya jf vina mambo mengi sana
Wapo waliooa single maza humu na wanaishi vizuri tu...ila kwa mkumbo watakushauri wewe usioe.
Halafu wewe ndyo unamjua vizuri mtu wako despite ya maneno ya waja na majirani zako
Usisikilize mtu kwenye issue ya kuoa fanya maamuzi mwenyewe..maana wewe ndiyo unaenda kuishi naye...na ukiona hakufai muache mapema usimpotezee muda dada wa watu muache akakutane na LOHL wake.
Nimekuelewa mkuu. Out of all comments mawazo yako yamenigusa sana.Kwahiyo Wakati unaanzisha mahusiano ulitegemea hayo mahusiano yatadumu milele?...
Mahusiano ya sasa jiandae kuachana muda wowote ule,..yani kama unataka kuuoa, oa..lakini Wakati ukifika wa kuachana, usiangalie nyuma, just move on......
Ni kweli, single mothers wengi sana ni changamoto, lakin sio wote pia, nani ajuaye kuwa huyo ni sahihi au lah!?
Kumbuka, unaweza oa asie single mother, na bado ukakumbana na jehanamu ndogo,......
NOTE: Achana na POROJO na PROPAGANDA za mapenzi ya kufa na kuzikana, ........now days jifunze kuacha, kuachwa, kuachana, kusahau na kumove on......
Kama unajisikia kuoa wewe OA.....
Nakutakia maisha mema Ndugu 👍👍Nimekuelewa mkuu. Out of all comments mawazo yako yamenigusa sana.
we oa bana!Nikiamua kuwa sitamuoa nitamwambia ukweli mapema.
Ishi naye.Ana mtoto tayari. Anaonekana ni mtu ambae kwa sasa anataka ku settle. Ratiba yake Iko tight sana na akitoka jioni tunakutana kuruka na wengine sidhani.
Sawa mkuuIshi naye.