establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,392
Wakuu nahitaji 2011 Nissan Xtrail ukubwa wa Engine uwe kati ya 2 mpaka 2.5 cc. Niagize wapi Kati ya Japan na Afrika Kusini?
Gari za South mileage sio poaAfrica kusini zipo kwani hizo?
Anyways mimi nakushauri gari chukua south Africa maana kwanza ni karibu so itakuja haraka sana ndani ya wiki moja na siku kadhaa.
Gari za South Africa zimetengenezwa kulingana na mazingira ya afrika so zina ubora wake kidogo.
Gari za South Africa nyingi milage inakuwa chini na nyingi wanauza ni almost mpya.
Ikikupendeza gari yako unaweza kwenda kuifuata mwenyewe ukakague kabisa kabla haujailipia.
Me nakushauri chukua south Africa maana kidogo kuna kaunafuu.
Mkuu wewe gari ya south kweli unaijua!! Zipo basic sana, features ambazo japan ni standard, Kwa m south ni optional.Fanya kwanza research, research iwe na:
1. Cost evaluation kuagiza izo sehemu mbili.
2. Gari za SA zimetengezwa wapi? JP na kua assembled SA au full SA kuanzia nati?
3. Options (Accessories): Mfano: Job waliketa gari foani za Toyota from SA zilikua plain sana ndani. Yaani boorish wakati ni 2021 YOM.
4. Cheki kuhusu annual inspection za izo nchi mbili.
5..
Vipi kuhusu usafirishaji wa gari toka Sauz Hali ipoje barabarani? Zimbabwe walivyo na Njaa si itakua jau Sana hiyo route?Naona ya 2014 au 2015 gharama na hiyo ya 2011 hazitatofautiana sana maana hiyo ya 2011 uchakavu TRA utakua mkubwa ila bei umenunua ndogo ni bora ununue bei kubwa gari ya miaka ya karibuni harafu isiwe na uchakavu kwa hiyo kodi yake itakua imepungua ila imeongezeka kwenye kununua gari nadhani hapa utapata chuma ya karibuni kuliko hiyo ya 2011...
Nyingi zina mileage ya chini sana so ni kama unanunua kitu kipya maana zimetumika hapo hapo South Africa tokea zikiwa zero milage.Gari za South mileage sio poa
Nadhani haujanyoosha maelezo yako kwa faida ya sisi sote hapa. Ukisema basic una maanisha nini na kwann ni basic?Mkuu wewe gari ya south kweli unaijua!! Zipo basic sana, features ambazo japan ni standard, Kwa m south ni optional.
Sio kweli. Gari za South mileage zimesogea kutokana na ukubwa wa nchi Ile. Kupata gari chini ya mileage 100,000kms nadra sana.Nyingi zina mileage ya chini sana so ni kama unanunua kitu kipya maana zimetumika hapo hapo South Africa tokea zikiwa zero milage.
Kwa kuongezea atakuwa amepeleka pesa nyingi kwenye gari yake mwenyewe maana atakuwa amepata kitu ambacho kipo kwenye ubora wake tofauti na ya zamani ambayo itakuwa unapeleka pesa yote TRA bila faida yoyote.Naona ya 2014 au 2015 gharama na hiyo ya 2011 hazitatofautiana sana maana hiyo ya 2011 uchakavu TRA utakua mkubwa ila bei umenunua ndogo ni bora ununue bei kubwa gari ya miaka ya karibuni harafu isiwe na uchakavu kwa hiyo kodi yake itakua imepungua ila imeongezeka kwenye kununua gari nadhani hapa utapata chuma ya karibuni kuliko hiyo ya 2011...
Utachagua wewe ibebwe kwenye kontena au uiendeshe kutoka kule hadi hapa. Sio mbali sana. Sababa tunazungumzia km 3000 so ukiweza unafanya kama joyriding upate muda na gari yako kuzoeana hadi unafika nayo Tz umeshaizoea balaa na ni bonge la vacation.Vipi kuhusu usafirishaji wa gari toka Sauz Hali ipoje barabarani? Zimbabwe walivyo na Njaa si itakua jau Sana hiyo route?
Nadhani inategemea unatafuta gari vipi na kwa nani. Hapa tu mtandaoni nacheki nakutana na gari za 0km nyingi tu, na zingine below 10,000kms.Sio kweli. Gari za South mileage zimesogea kutokana na ukubwa wa nchi Ile. Kupata gari chini ya mileage 100,000kms nadra sana.
Mwaka 2019 niliwahi kununua Toyota Hilux ilikua na mileage 540,000kms
Unapandishaje gari meli kutokea South Africa mzee? Hapo si unanyoosha goti mwenyewe tu babu.SA viwango vyake vya udhubiti ubora vikoje.Japan Haijawa bora sokoni bure bure ni viwango.
Freight ya Japan Dar inaweza kuwa ndogo kuliko SA Japan kutoka a na availability ya Vessels Ndio maana wengine wanaamua kuendesha by road kupitia Tunduma
BeiNissan Xtrail zipo ukitaka ya 2011 mpk 2023. Za diesel pia wanazo nyingi ni manual na engine ni YD22
Wewe jamaa kukosea kwako unadhani wote tunakosea aisee magari tunanunua yanakuwa na mileage ndogo sana unanununa gari ina hizo Mileage kabisaa hizo ntanunua labda kwenye Scania sio gari ndogo...Sio kweli. Gari za South mileage zimesogea kutokana na ukubwa wa nchi Ile. Kupata gari chini ya mileage 100,000kms nadra sana.
Mwaka 2019 niliwahi kununua Toyota Hilux ilikua na mileage 540,000kms