Ishu inakuzwa kuliko uhalisia ,ukichukulia kisiasa hao viongozi wanasambaza kitu ambacho hakina uhalisia.Tatizo kubwa hawa watu ni kukosa uadilifu ukiachana na mengine makubwa , Waislamu hata wafanye kipi hakuna jema kwa Waislamu kabla ya matukio ya Zanzibar wamekuwa humu wakijaza vinyuzi uchwara vya kila aina kuhusu uislamu hata kusiwe na kitu lazima Uislamu wafosi topic yeyote ili kuongelea negatively against Islam ....
Kuna taratibu zao zenji sisi watanzania bara, sjui tunalalama nini, hawa mama ntilie taratibu zinawataka mwezi huu mchana shughuli zisimame, unless wakajisajili kama zile sehemu za wageni, na hizi kelele kubwa zikitoka kwa wazenji ndo zitaleta maana, otherwise ni normal chit-chat ya sisi wabara tuHuko huko juzi maama ntilie aliyekua anajipikilisha msosi ndani ya nyumba yake alikamatwa na polisi.
Ukipika ndani unakamatwa ukila nje unakamatwa. Ukisimama nchale ,ukichuchumaa nchale ,ukikaa nchalee
Nchi ya kiislamu kwa sheria zao wanafuata Uislamu ...Bakora zinataendela kwa vile utaratibu unajulikanaKwani Zanzibar ni nchi ya kiislamu? Uislamu wa Zanzibar ni wa mwezi wa Ramadhani tu
Wazanzibari huwa waislamu mwezi wa Ramadhani tu
Muislamu hata akioa anafungia wake zake ndani na funguo sababu anawajua kuwa wanawake wa Kiislam kudhibiti matamanio sifuri muda wowote wakitoka watapanulia mapaja wanaume mitaani.Sasa dini gani mtu hawezi dhibiti hata hamu yake ya chakula akiwa anafunga akimuona mwingine anakula mbele yake anaehuka kwa udenda wa hamu ya chakula na kufoka kuwa anataka kumfungulisha funga yake!!!Mnaweza kudhibiti matamanio lakini mkashindwa kujikaza na kuruhusu ushoga kupitia papa? Damn!!
Naunga mkono hoja , madai Yao kuwa wapo wengi yanaanza kutia mashaka maana sijawahi kuona Majority wawe weak kiasi hiki na kulalama kila siku kuwa wanaonewa na Minority.Wajinga hao
Uwape kipondo kwa kipiMakafiri juzi hapa walikubali kile chuo kupinga waislamu kuvaa hijab, tukasema ikiwa mimi ni mmoja wapo kwamba wafuate taratibu za chuo husika.
Kule France walikata hijab, tukasema ni taratibu.
Wakija zenji ni kipondo tu shenzi kabisa!!Hawa ni wakuchapa shenzi kabisa!!
Naunga mkono hoja , madai Yao kuwa wapo wengi yanaanza kutia mashaka maana sijawahi kuona Majority wawe weak kiasi hiki na kulalama kila siku kuwa wanaonewa na Minority.
Kuna taratibu zao zenji sisi watanzania bara, sjui tunalalama nini, hawa mama ntilie taratibu zinawataka mwezi huu mchana shughuli zisimame, unless wakajisajili kama zile sehemu za wageni, na hizi kelele kubwa zikitoka kwa wazenji ndo zitaleta maana, otherwise ni normal chit-chat ya sisi wabara tu
Kwani Zanzibar ni nchi ya kiislam?Makafiri juzi hapa walikubali kile chuo kupinga waislamu kuvaa hijab, tukasema ikiwa mimi ni mmoja wapo kwamba wafuate taratibu za chuo husika.
Kule France walikata hijab, tukasema ni taratibu.
Wakija zenji ni kipondo tu shenzi kabisa!!Hawa ni wakuchapa shenzi kabisa!!
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sanaKwanini mtu akijiunga na hii dini kama kichwani inakuwa empty beaker
Yaani mtu hajui kuwa kufunga ni ibada wala siyo fujo
Utaona mwezi Ramadan wao wanawaza kufanya fujo, udhalilishaji, uhuni na ugaidi
Hii dini ina mambo mazuri mno binafsi huwa nayakubali sijui hawa mahuni na magaidi wanatokaga wapi kwenye uislam
Badala mtu afunge ajali ibada yake kwa Allah yeye yupo kufuatilia kaya gani na nani wanakula mchana awadhalilishe au afanye Ugaidi kama huko Russia
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanataka kuondoa utaratibu uliopo miaka na miaka. Chokochoko zimekuwa nyingi...wanataka kuhakikisha wanabadili tamaduni zote za kizanzibari maana zipo ambazo tayari washafanikiwa kuziondoa na baadhi zinaelekea kupotea kabisaMakafiri juzi hapa walikubali kile chuo kupinga waislamu kuvaa hijab, tukasema ikiwa mimi ni mmoja wapo kwamba wafuate taratibu za chuo husika.
Kule France walikata hijab, tukasema ni taratibu.
Wakija zenji ni kipondo tu shenzi kabisa!!Hawa ni wakuchapa shenzi kabisa!!
Me ni Mtanzania kwanini Zanzibar wanafanya uhuni kwa kichaka cha dini?Wewe wacha porojo hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani sii ubaki kwenu tanganyika ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
Nadhani unaondoa akili kichwaniKwani uislam hauruhusu kutumia akili?
Zanzibar kwa kiwango kikubwa wanajitahidi kuutunza na kuuenzi utamaduni wao usiathiriwe au kumezwa na tamaduni zinazokuja na watalii au wageni kutoka nje ya Zanzibar.Kwani Zanzibar ni nchi ya kiislamu? Uislamu wa Zanzibar ni wa mwezi wa Ramadhani tu
Wazanzibari huwa waislamu mwezi wa Ramadhani tu
Kuna clip niliiona huko bara kijijini jamaa anampiga mikwaju mschana kavaa nusu uchi.Ishu inakuzwa kuliko uhalisia ,ukichukulia kisiasa hao viongozi wanasambaza kitu ambacho hakina uhalisia.
Mfano kule x mtu anatweet kutukana uislamu jambo limetokea zenji ila linakuja kwa waislamu wote.
Zipo video walevi wanachapwa huko kaskazini mtu mzima kabisa kisa kulewa ,ila wanasema ni sheria za kijijini kwao.