janaleonahatakesho
Member
- Jun 12, 2022
- 55
- 119
Kama halina pingamizi kwanini unakaza mshipi wa tarko kuwananga walimu we jamaa inaonekana kuna Mwalimu kapita na mke wako sio kwa povu hili.Hilo halina pingamizi
Kama halina pingamizi kwanini unakaza mshipi wa tarko kuwananga walimu we jamaa inaonekana kuna Mwalimu kapita na mke wako sio kwa povu hili.Hilo halina pingamizi
Skillz za ziada kama vipi ?Chuki binafsi inisaidie nini kiongozi, shida walimu wengi hawana skills za ziada wao wanategemea mwisho wa mwezi tu ndio mana hawaendelei
mwanae mbali kote hukoHuyu fala ndo wakumla nd..og..o mwanae ili akili imkaae sawa shwain
Hahahahah huyu jamaa namjua nje ndani!?mfano kwa huyu mwalimu, alijiongeza baada ya kuona fedheha zimezidi. Aliamua kufumba macho akaanza kuuza mishkaki huku anafundisha haijalishi watu wanamchukuliaje.
Aya yako ya mwisho ndo jibu la huyu mjaa laanaWe una stress zako huko umejisikia kuzimalizia kwa walimu lakini ukweli utabaki pale pale kwamba hao hao unao waita leo primitive ndio walio kufanya na wewe ukajua kuwaita ni primitive leo. unless uniambie wewe hukufundishwa na walimu bali ulifundishwa na mabaharia,
acheni kudharau watu walio wapa mwanga wewe huna natofauti na anaye mtukana mamaake kwa kupatukana pale alipo tokea.
Sa ww ndo umechanganyikiwa huyo Mwalimu aliyemfumua mkeo Malinda nampongeza sanaNani kadharau mtu, ivi nikimuona mtu kachanganyikiwa, halafu nikaja kuwaambia flani amechanganyikiwa je hizo ni dharau au ni ukweli?
Political Science and Public Administration pale UDSM hata ukiwa na DV 3 unasoma, lakini ualimu bila Div 1 au 2 hupati.Political science and public administration
Kwa majibu haya itoshe tu kusema wewe ni kijana wa hovyo uliyebahatika kwenda Chuo ila hukuelimika. Na kama ulipewa mkopo na Serikali hii ndio hasara serikali imepata.Uliza udom kozi nzito ni ipi.. Hii kozi isikie tu, pale udom ndokozi ngumu nenda kaulize
Kwa niaba ya Moderators wenzangu nasema "Amelikoroga na alinywe" 😂Moderator, muokoeni huyu kijana kwa kuufunga tu huu uzi. Maana amechokoza mzinga wa nyuki (Walimu)! Sasa wanamshambulia kutoka kila upande. Tena kwa hoja zilizoshiba kweli kweli, huku yeye akibakia tu kubwabwaja!
Hana mtu wa kumtia moyo! Hakika amebakia peke yake! Na kwa haraka haraka, naona pumzi yake inaelekea kukata. Msaidieni tafadhali.
Kumbe lina elimu mbovu kiasi hicho aisee huyu jamaa anione Dm nimpe kazi ya kufanya vinginevyo ndugu wajiandae kumpeleka milembe
Dah hebu chekiUkiona mwalimu kashika chupa ya maji ujue katoka kwenye harusi au semina,kwa mshahara upi anunue maji.
Umeonyesha tabia mbaya,nifanye niache kaz hii bas niwe golikipa....unitunze nitunzikeBaby mbona umenitusi? Navyokupenda sasa
Political Science and Public Administration pale UDSM hata ukiwa na DV 3 unasoma, lakini ualimu bila Div 1 au 2 hupati.
Kipato kidogo kwa sababu wao wenyewe wameshindwa kujitambua, wengi wao hata huo ualimu wameupata kimagumashi kwa kuuganishaunganisha, hawana muamko kama elimu wanayoitoa darasaniSababu moja ni kwakuwa kipato chao ni kidogo cha mshahara...
Pia hawajipendi, mavazi yao yapoyapo...
Ila wanamchango mkubwa sana ktk kuendeleza elimu za watoto wetu...
Acha nikae kimya, naonekana nawafanyia uchuroMkuu me ni muhusika kabisa 200% ila nakiri kabisa kwa nchi yetu ulichokiongea ni Fact kabisaaaa hata mimi mwenyewe hili suala linanikereketa sana ingawa bado sijaingia kwenye field yenyewe ila ni dhairi kwamba Umaskin unanuka vbaya mno kwenye hii fani ya Ualimu ktk nchi yetu.
Uko sahihi kabisa, walimu wengi Elim zao zakuungaungaKipato kidogo kwa sababu wao wenyewe wameshindwa kujitambua, wengi wao hata huo ualimu wameupata kimagumashi kwa kuuganishaunganisha, hawana muamko kama elimu wanayoitoa darasani