Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 11,455
- 35,236
Nenda na ATCL hadi Harare Kwa dollar 280 hivi then pale utachukua flight nyingine hadi South Africa Kwa dollar 175 hivi
Kurudi pia utatumia njia hiyo hiyo hivyo kujikuta ukitumia nauli Chini ya dollar 800 kwenda na kurudi
Safari njema kwenye utafutaji wa maisha 🤝
Kurudi pia utatumia njia hiyo hiyo hivyo kujikuta ukitumia nauli Chini ya dollar 800 kwenda na kurudi
Safari njema kwenye utafutaji wa maisha 🤝