Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,492
- 29,210
Itakua siku hizi mashuleni wamebadili mitaala. Kipimo cha umbali kimepewa muda badala ya mita au kilometer zilizokua zikitumika kablaUmbali siku hizi unapimwa kwa dakika sio mita au kilomita tena?