Itakua siku hizi mashuleni wamebadili mitaala. Kipimo cha umbali kimepewa muda badala ya mita au kilometer zilizokua zikitumika kabla
Eeh kwakweli mambo yanakwenda kasi sana mzee mwenzangu.
 
Kiwanja kizuri sana kinauzwa bei poa:

Ukubwa-sqm 750

Umiliki-mauziano serikali za mtaa

Bei-ml 27 maongez

Location- madale kwa mzungu

Umbali- km 1.5 kutoka main road madale mwisho

0675065906View attachment 2684144View attachment 2684145View attachment 2684146
Eneo potential kama madale...umuuzie mtu kwa kigezo Cha documents za serikali ya mtaa tuu?

Hayo maeneo watu wengi wameku waoga kununua kutokana na kuwa na kesi nyingi za utapeli

Hicho kiwanja kingetafutiwa hati miliki ya wizarani kwanza ...
 
Eneo potential kama madale...umuuzie mtu kwa kigezo Cha documents za serikali ya mtaa tuu?

Hayo maeneo watu wengi wameku waoga kununua kutokana na kuwa na kesi nyingi za utapeli

Hicho kiwanja kingetafutiwa hati miliki ya wizarani kwanza ...
Maoni mazuri
 
NYUMBA INAUZWA MAPINGA BAGAMOYO JIRANI NA KITUO CHA POLISI,MITA 200 KUTOKA BAGAMOYO ROAD
NYUMBA IPO KWENYE ENEO LENYE 40×40
INA VYUMBA 3 KIMOJA MASTER
INA SEBULE ,DINING & KITCHEN
BEI MLN 40 MAONGEZI YAPO
INA HATI YA WIZARA
0675065906
Screenshot_20230713-142448.jpg
Screenshot_20230713-142426.jpg
Screenshot_20230713-142354.jpg
 
NYUMBA INAUZWA KIBAHA KWA MFIPA
IPO DK 1 KUTOKA LAMI MOROGORO ROAD
INA VYUMBA 3 KIMOJA MASTER,
INA PUBLIC TOILET, SITTING,DINING &KITCHEN NA PARKING YA GARI NJE
INA FENCE YA UKUTA NA GETI ZURI
BEI MLN 55,HATI IPO
0675065906
Screenshot_20230713-144001_1.jpg
Screenshot_20230713-144102_1.jpg
Screenshot_20230713-145744_1.jpg
Screenshot_20230713-143848_2.jpg
Screenshot_20230713-143942_1.jpg
Screenshot_20230713-143827_1.jpg
Screenshot_20230713-144102_2.jpg
Screenshot_20230713-144056_1.jpg
 
NYUMBA INAUZWA KIBAHA KWA MFIPA
IPO DK 1 KUTOKA LAMI MOROGORO ROAD
INA VYUMBA 3 KIMOJA MASTER,
INA PUBLIC TOILET, SITTING,DINING &KITCHEN NA PARKING YA GARI NJE
INA FENCE YA UKUTA NA GETI ZURI
BEI MLN 55,HATI IPO
0675065906View attachment 2686707View attachment 2686708View attachment 2686709View attachment 2686710View attachment 2686711View attachment 2686712View attachment 2686715View attachment 2686716
Unaweza ukacheki video hizo
 
Itakua siku hizi mashuleni wamebadili mitaala. Kipimo cha umbali kimepewa muda badala ya mita au kilometer zilizokua zikitumika kabla
Acheni ujuaji hata humu barabarani tunamotembea huwa tunauliza "unaweza kutumia dakika ngapi kufika? hatuulizi kilomita wala mita kama hamna cha kuchangia kaa kimya
 
Acheni ujuaji hata humu barabarani tunamotembea huwa tunauliza "unaweza kutumia dakika ngapi kufika? hatuulizi kilomita wala mita kama hamna cha kuchangia kaa kimya
Sasa dakika ngapi kwa miguu, gari, pikipiki, bajaji, kutembea polepole, haraka haraka au kukimbia?
 
Kiwanja kinauzwa Bunju B ukubwa 25x25 milion 23 tu,Kipo Mita 250 kutoka Bagamoyo Road Ni Nyuma ya Stendi Kipo mtaa nzuri tulivu.
0675065906
IMG-20230717-WA0001.jpg
 
Kiwanja kinauzwa Bunju B ukubwa 40x40 bei milion 25 pazuri ni Mita 250 kutoka Bagamoyo Road,Maongezi yapo.0675 065906
IMG-20230717-WA0004.jpg
 
VIWANJA VIWANJA VIWANJA
VINAUZWA KIBAMBA

LOCATION:
KIBAMBA KIBWEGERE MWISHO
UKUBWA WA HEKA 1 ML 75

KIBAMBA LUMUMBA
-UKUBWA WA NUSU HEKA MLN 16 IPO CENTER PAMECHANGAMKA UNAWEZ A KUWEKA FREMU ZA MADUKA

-UKUBWA WA HEKA 1 NA NUSU MLN 25

-UKUBWA WA 20x20 MLN 3

PIGA SIMU
0675065906
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom