Nyanzige30
Member
- Mar 18, 2024
- 95
- 232
- Thread starter
- #21
Nimepadharau vipi mkuuTandika ya mbeyaaa we pembaaaaaaa acha kupazarau tandikaaa
Nimepadharau vipi mkuuTandika ya mbeyaaa we pembaaaaaaa acha kupazarau tandikaaa
Tandika hata kiwanja cha20m hupati au ulimaañsha chamazNimepadharau vipi mkuu
Nimechukua ushauri mkuuACHA ujinga mkuu!!
Usirudi Bongo Huku michosho!!
Kaza huko huko!!
Hiyo alphard.iendeshe mwenyewe sio kuwapa madereva!
Baki huko huko!
Mm km una pesa ntakupeleka ukanunue nyumba kwa io 20M mkuuTandika hata kiwanja cha20m hupati au ulimaañsha chamaz
Namsaidia kujibu: Unamiliki vizuri tu! Ni pesa yako tu. achana na habari za kahawa kutoka humu.Jaribu kufuatilia ukweli wa mambo!Pia jibu swali la mdau, tunaambiwa zenji mtanganyika haruhusiwi kununua kiwanja, ww uliwezaje?
Hawezi kujibuPia jibu swali la mdau, tunaambiwa zenji mtanganyika haruhusiwi kununua kiwanja, ww uliwezaje?
Ushauri wangu hiyo nyumba ifanye apartment, wakodshie wageni watalii, jinsi ya kuwapata najua unajua maana umekuwa nao. Tumia gari lako kama usafiri wa wageni poa kuwaleta na kuwatoa kwenye apartment yako.
Vipi, kuhusu wewe, hukuwafanyia wenzako fitina wakati bado upo na bosi kazi aliyekupenda?? Je, wewe ni malaika??Penye rizki hapakosi fitna wahenga walisema
Haya bado ni maelezo ya upande mmoja, tunaita majungu na fitina! Yaani unataka uonewe huruma na jamii hata kama umekosea! Umeingiza mpaka udini!lkn kadri muda ulivyokuwa unaenda nilianza kuona visa na mikasa, ubaguzi wa wazi wazi dhidi yangu! Mtu anakuchokoza kwa kukuita kafiri kisa tu muda wa kuswali umefika na wewe hujaenda kuswali ama hujasitisha huduma,
Sasa hapa unamlaumu nani? Ulitegemea taasisi isingefahamu?? Halafu inaonekana kama ulianza kuvimba a.k.a kuonyesha majivuno, kiburi na dharau!nikanunua Alphard pia nikampa mtu aifanye private hire na nikawa nampa wageni wa pale kazini wanaotaka usafiri kwa siri kubwa maana hairuhusiwi taasisi ina magari yake pia inakodisha.
Mbona nmeshajibu hili mkuuHawezi kujibu
Tafuta kijiwe cha kahawa kaanzishe mada za Simba na yanga ama habari za mange mixer chadema na ccm utapta wa kubishana nae. Kwangu sio mahala pakeVipi, kuhusu wewe, hukuwafanyia wenzako fitina wakati bado upo na bosi kazi aliyekupenda?? Je, wewe ni malaika??
Haya bado ni maelezo ya upande mmoja, tunaita majungu na fitina! Yaani unataka uonewe huruma na jamii hata kama umekosea! Umeingiza mpaka udini!
Sasa hapa unamlaumu nani? Ulitegemea taasisi isingefahamu?? Halafu inaonekana kama ulianza kuvimba a.k.a kuonyesha majivuno, kiburi na dharau!
Asante kwa kunipa uzoefu wako mkuuWazo la kurudi bara mm ndo sikubaliani nalo... Hakujabadlika kule mkuu kumekaza vilevile.. mm Niko hapa hapa Kwerekwe Nina miezi kadhaa. Pamenishinda huko bara Ngoma ngum sana
Wananunua ardhi wazungu itakuwa mm Mtanganyikailikuwaje ukanunua kiwanja Zanzibar ilihali we ni.Mtanganyika
Asante mkuu kwa ushauriHela zote usiweke kwenye nyumba za kupangisha, km ni fremu ya kupangisha nafikiri ni bora zaidi
Ila pia usiwe na haraka, bora uuze then uweke hela UTT, wakati unafikiria biashara nzuri itakayolipa.
Kila la heri.
Wazungu ni wawekezaji tuWananunua ardhi wazungu itakuwa mm Mtanganyika
Yani nasikia kilo ya mbuzi ni 20000 ila wenye mabucha wananunua kwako elfu 11. Angalia Cha kufanya huku huku hata saplai mahitaji kwa mahoteli hasa matunda na vegetables. Ukiwa supplier unaishi vizuri mkuu sio bara kule kwenye fursa utakuja kuomba kazi yoyote humuhumu jf walahiAsante kwa kunipa uzoefu wako mkuu
Wako watanganyika wengi sana wanamiliki ardhi na biashara kubwa hapa Unguja. Asante pia kwa ushauriPia jibu swali la mdau, tunaambiwa zenji mtanganyika haruhusiwi kununua kiwanja, ww uliwezaje?
Ushauri wangu hiyo nyumba ifanye apartment, wakodshie wageni watalii, jinsi ya kuwapata najua unajua maana umekuwa nao. Tumia gari lako kama usafiri wa wageni poa kuwaleta na kuwatoa kwenye apartment yako.