dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,648
- 16,334
Jana nilkuwa sehemu nimetuliaa nasubiria mechi ya yanga bas napiga zangu bia ya killimanjaro mdg mdg
Basi akafika dad mmoja hivi wa makamu wako na rafiki zake wawili wazuri Kweli japo umri wao umenda kdg Ni Hawa wanaitwa mashangazi wakaomba wake kwenye meza nilioko mm
Kumbe Huyu dada amezaliwa kijij kwetu ila Ni muda mrefu nilikuwa mdogo pindi anaondoka kwenda kutafuta maisha mjni hvyo Bado namkumbuka ila yey hanikumbuki ila anawafahamu baadhi ya ndugu zangu ,Basi wakaa pale wakaagiza vinywaji vyao na mm nikaongezewa bia jumla zikawa sita mezani nikawanapiga huku namkumbusha watu wa kule Basi akafurahi sana na mm nikawa namsifia sana kuwa unajali Sana familia yako hat wadogo zako wako vzr sna wewe Ni mtu wa maana sna sna Basi akawa anafurahi sana nikaagiziwa kuku nusu ,namm nikaanza kuchochea kuni Zaid Hadi mechi inaanza Wala sina muda namjaza upepo tu
Saa nne wakataka kuondoka na mm nika wa escort had kweny gari lao Aina ya Forester new model kufikaa nashangaaa akaniita pembeni akaniambia " mdogo wangu umenifanya leo nifurahi mbele za rafiki zangu nashukuru sana sana umekomesha " akazama kwenye mkoba wake akaibuka na elf 50k na kuniachia namba yake na kunielekeza ofice yake iliko
Ki ukweli nimefurahi mm kupata pesa za bila kutumia nguvu kubwa just kusifiaa tu
Nimeamini watu wengi wanapenda kusifiwa mno Hakuna anataka kupewa sifa mbaya
Sasa nataka niwe chawa rasmi kwamba Ni kusifu na kuabudu hakuna namna naweza pata pesa kirahisi
Nitatafutaaa namba za mwijaku,baba level anipe mbinu ili niboreshe Zaid uchawa na Kisha nipige mpungaa
Basi akafika dad mmoja hivi wa makamu wako na rafiki zake wawili wazuri Kweli japo umri wao umenda kdg Ni Hawa wanaitwa mashangazi wakaomba wake kwenye meza nilioko mm
Kumbe Huyu dada amezaliwa kijij kwetu ila Ni muda mrefu nilikuwa mdogo pindi anaondoka kwenda kutafuta maisha mjni hvyo Bado namkumbuka ila yey hanikumbuki ila anawafahamu baadhi ya ndugu zangu ,Basi wakaa pale wakaagiza vinywaji vyao na mm nikaongezewa bia jumla zikawa sita mezani nikawanapiga huku namkumbusha watu wa kule Basi akafurahi sana na mm nikawa namsifia sana kuwa unajali Sana familia yako hat wadogo zako wako vzr sna wewe Ni mtu wa maana sna sna Basi akawa anafurahi sana nikaagiziwa kuku nusu ,namm nikaanza kuchochea kuni Zaid Hadi mechi inaanza Wala sina muda namjaza upepo tu
Saa nne wakataka kuondoka na mm nika wa escort had kweny gari lao Aina ya Forester new model kufikaa nashangaaa akaniita pembeni akaniambia " mdogo wangu umenifanya leo nifurahi mbele za rafiki zangu nashukuru sana sana umekomesha " akazama kwenye mkoba wake akaibuka na elf 50k na kuniachia namba yake na kunielekeza ofice yake iliko
Ki ukweli nimefurahi mm kupata pesa za bila kutumia nguvu kubwa just kusifiaa tu
Nimeamini watu wengi wanapenda kusifiwa mno Hakuna anataka kupewa sifa mbaya
Sasa nataka niwe chawa rasmi kwamba Ni kusifu na kuabudu hakuna namna naweza pata pesa kirahisi
Nitatafutaaa namba za mwijaku,baba level anipe mbinu ili niboreshe Zaid uchawa na Kisha nipige mpungaa