Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 11,211
- 21,129
Oky inshallah atakua poa ..Leo siku Iko fresh tu, japo mchumba anaumwa kidogo. But everything will be okay.
Ngoja tuendelee kuota jua πππ
Oky inshallah atakua poa ..Leo siku Iko fresh tu, japo mchumba anaumwa kidogo. But everything will be okay.
Sawa πOky inshallah atakua poa ..
Ngoja tuendelee kuota jua πππ
Asante.
Hata fb kuna group la single mamaz na babaz , wanawake wengi ni wachagaKule Ig kuna jamaa anaitwa mwalimu ni anadili na mahusiano , kwa kweli wanaotfauta wachumba wengi 90% ni wachage hivi kuna tatizo gani?
hapana ila ntamfikiriaπππππππππ
Mbaga jr kijana mi na single maza wap na wapi....
Mybe aje Half american kidogo anaweza stahimili hizo ishu...
Ila pia hayo mambo nilikatazwa na Analyse ππππππ
Ni watu wa mkakati,kwenye mambo ya msingi yanayohusu maisha na kibunda aibu inakaa pembeni wanachangamkia fursa.Kule Ig kuna jamaa anaitwa mwalimu ni anadili na mahusiano , kwa kweli wanaaotafuta wachumba wengi 90% ni wachage hivi kuna tatizo gani?
miviga umeniwahi kidogo sanaπ umri wa 23-28 upo nchi ganiHakuna umri wa 23-28,
We umezaliwa 1994 unamiaka 29, acha blabla
Half american chukua chombo hiohapana ila ntamfikiria
Kaenda wapi?Baba mtoto wake hayupo kabisa
wangu ndio anazaliwa sina haraka mkuuHalf american chukua chombo hio
We sema tu anazaliwa utaachwa na gari la mshahara π@half Americanwangu ndio anazaliwa sina haraka mkuu
Pisi zipo nyingi sana mi bado nipo nipo kwanza.We sema tu anazaliwa utaachwa na gari la mshahara π@half American
Atakuwa mpalestina bila shaka, wale wanaomwagia watu maji ya moto usingizini ππ€£π€£Ni mchagga wa wapi huyo maana wachaga tunajuana...
Catholic christianity ni dini gani au ni nini kwa kuanzia. Wewe ni dini gani.Namshukuru Mungu mimi nilipata mume hapahapa JF ndoa tumefunga na nina mtoto mmoja na mume wangu siku nitaanzsha uzi hapa
nlvomuadithia rafiki yangu n a yeye akanituma nmtumie maombi yake...
Yeye pia ni MCHAGA single mama la mtoto 1 wa miaka 7
Baba mtoto wake hayupo kabisa
Anatafuta mume MCHAGA ili waendane kiutamaduni
Umri wake 23-28
Kazi:anaapambana na yy ni mwalimu hajaajirriwa
Umbo: mwembamba sio sana na rangi ni maji ya maharagwe
Dini:catholic christianity
Utanipm nmpe namba zako mwenye uhitaji wa mke