Natafuta rafiki/mchumba aje kuwa mume

simba jike

Senior Member
Mar 23, 2017
182
535
natafuta mwanaume ambaye mwenyezi mungu akijaalia aje kuwa mume na baba wa watoto wangu,mimi nina miaka 30,nina fanya kazi kwa mtu binafsi,nina kipato cha kawaida sana ila namshukuru mungu,nina mtoto mmoja ambaye nilizaa nikiwa na miaka 18, sasa yupo form one,kwa imani mimi ni muislam ila ninaweza kubadili dini kama tukielewana na kupendana familia yangu haina kipingamizi na hilo,nahitaji mwanamume,mstaarabu,mwenye upendo kwa watu wote ampende pia mtoto wangu, na kama ana mtoto niko tayari pia kumpokea kama yeye atakavyompokea wa kwangu,awe mwenye kujali na kujua majukumu yake na sio kila kitu kuambiwa,tuzungumze lugha moja ambayo ni upendo,awe mtanashati kimavazi na kimuonekano(me ni mnene kiasi ila najitahidi sana kuwa smart na nimefanikiwa),mwenye hofu ya Mungu ili tujenge familia yenye kumjua Mungu.umri kuanzia 30 na kuendelea.mengineyo tutaelezana baada ya kuelewana.
 
natafuta mwanaume ambaye mwenyezi mungu akijaalia aje kuwa mume na baba wa watoto wangu,mimi nina miaka 30,nina fanya kazi kwa mtu binafsi,nina kipato cha kawaida sana ila namshukuru mungu,nina mtoto mmoja ambaye nilizaa nikiwa na miaka 18, sasa yupo form one,kwa imani mimi ni muislam ila ninaweza kubadili dini kama tukielewana na kupendana familia yangu haina kipingamizi na hilo,nahitaji mwanamume,mstaarabu,mwenye upendo kwa watu wote ampende pia mtoto wangu, na kama ana mtoto niko tayari pia kumpokea kama yeye atakavyompokea wa kwangu,awe mwenye kujali na kujua majukumu yake na sio kila kitu kuambiwa,tuzungumze lugha moja ambayo ni upendo,awe mtanashati kimavazi na kimuonekano(me ni mnene kiasi ila najitahidi sana kuwa smart na nimefanikiwa),mwenye hofu ya Mungu ili tujenge familia yenye kumjua Mungu.umri kuanzia 30 na kuendelea.mengineyo tutaelezana baada ya kuelewana.
Duh kweli unashida na ndoa mpka uko tayari kubadili dini mungu akusaidie umpate wa dini yako
 
natafuta mwanaume ambaye mwenyezi mungu akijaalia aje kuwa mume na baba wa watoto wangu,mimi nina miaka 30,nina fanya kazi kwa mtu binafsi,nina kipato cha kawaida sana ila namshukuru mungu,nina mtoto mmoja ambaye nilizaa nikiwa na miaka 18, sasa yupo form one,kwa imani mimi ni muislam ila ninaweza kubadili dini kama tukielewana na kupendana familia yangu haina kipingamizi na hilo,nahitaji mwanamume,mstaarabu,mwenye upendo kwa watu wote ampende pia mtoto wangu, na kama ana mtoto niko tayari pia kumpokea kama yeye atakavyompokea wa kwangu,awe mwenye kujali na kujua majukumu yake na sio kila kitu kuambiwa,tuzungumze lugha moja ambayo ni upendo,awe mtanashati kimavazi na kimuonekano(me ni mnene kiasi ila najitahidi sana kuwa smart na nimefanikiwa),mwenye hofu ya Mungu ili tujenge familia yenye kumjua Mungu.umri kuanzia 30 na kuendelea.mengineyo tutaelezana baada ya kuelewana.
Mhhh Simba jike??
 
natafuta mwanaume ambaye mwenyezi mungu akijaalia aje kuwa mume na baba wa watoto wangu,mimi nina miaka 30,nina fanya kazi kwa mtu binafsi,nina kipato cha kawaida sana ila namshukuru mungu,nina mtoto mmoja ambaye nilizaa nikiwa na miaka 18, sasa yupo form one,kwa imani mimi ni muislam ila ninaweza kubadili dini kama tukielewana na kupendana familia yangu haina kipingamizi na hilo,nahitaji mwanamume,mstaarabu,mwenye upendo kwa watu wote ampende pia mtoto wangu, na kama ana mtoto niko tayari pia kumpokea kama yeye atakavyompokea wa kwangu,awe mwenye kujali na kujua majukumu yake na sio kila kitu kuambiwa,tuzungumze lugha moja ambayo ni upendo,awe mtanashati kimavazi na kimuonekano(me ni mnene kiasi ila najitahidi sana kuwa smart na nimefanikiwa),mwenye hofu ya Mungu ili tujenge familia yenye kumjua Mungu.umri kuanzia 30 na kuendelea.mengineyo tutaelezana baada ya kuelewana.

Baba wa mwanao yuko hai? je mna mawasiliano?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom