- Thread starter
- #41
kama huna cha ku coment Pitaa hivii wewe.Kweli kabisa, kanitia shaka ana majibu yenye ukakasi kidogo kanifanya niaone anatania tu hayupo serious
kama huna cha ku coment Pitaa hivii wewe.Kweli kabisa, kanitia shaka ana majibu yenye ukakasi kidogo kanifanya niaone anatania tu hayupo serious
Maombi yangu ufanikiwe dada yangukama huna cha ku coment Pitaa hivii wewe.
As long as i am a human being, i will never even be close to perfect. All that i do is caring enough to try being a perfect. Kitu kizuri ni kizuri tu hata kama hakuna anayekisifia na kitu kibaya ni kibaya, no matter wangapi wanakisifia. Kama kuna wadogo zetu wanajifunza, it's better wajifunze kwamba ukipewa nafasi, try to select, utilize and fill the right choices. Kama utaona ni better ku-sugarcoat vitu ni vyema kwa nafasi yako. To each on it's own.Aisee!Kama umepunguza miaka badala ya kuwa 76 unakosea sana.Mtu mzima mwenye watoto wa kike na kiume pengine,hawezi kuchangia hoja ki-teeneger namna hiyo.Are you that perfect,amigos?
Kumbe,"down-under" unaelewa unachokifanya,Ila unasimanga tu!Hata hivyo,ombi la muombaji litimie.Amina!🙏As long as i am a human being, i will never even be close to perfect. All that i do is caring enough to try being a perfect. Kitu kizuri ni kizuri tu hata kama hakuna anayekisifia na kitu kibaya ni kibaya, no matter wangapi wanakisifia. Kama kuna wadogo zetu wanajifunza, it's better wajifunze kwamba ukipewa nafasi, try to select, utilize and fill the right choices. Kama utaona ni better ku-sugarcoat vitu ni vyema kwa nafasi yako. To each on it's own.
Niko serious na hili. Humu ndani kuna mizahaa sanaKweli kabisa, kanitia shaka ana majibu yenye ukakasi kidogo kanifanya niaone anatania tu hayupo serious
Huo msaada aliokupatia FaizaFoxy , kwa Umri wako, huo ni msaada wa huruma sana. Otherwise living single ndiyo kitu ningeweza kukushari mimi.Nani alikuambia nataka kuolewa mke wa pili? Mtafutie ustadhati umpelekee sawa wewe keeee.....
Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante.
Shake the tree to see what falls out of it. Hapo tayari kitabia amesomeka. Wanaomuuliza wanatafuta kujua, kumhusu yeye na yeye hawakawizi, anaruka nao ile kizaizai na kiashuraSweetheart,
Ni kweli humu ndani kuna makwazo lakini kwa namna hii kweli..!? Mwanaume mwenye nia akiona kauli kama hizi tayari kwake ni turn-off..!!
Hao wanaokufanyia kejeli ungeachana nao tu kisha wewe ujitahidi ku focus na jambo lako naamini utafanikiwa..!
Halafu wenye nia kweli watakuja PM siyo hawa wanaojisemesha hapa kwenye comments my dear..!!
Usiseme kitu ambacho huna uhakika nacho. Tabia hawezi kupimwa kwa mtu kumdhihaki mwingine.She tje tree to see what falls out of it. Hapo tayari kitabia amesomeka. Wanaomuuliza wanatafuta kujua, kumhusu yeye na yeye hawakawizi, anaruka nao ile kizaizai na kiashura
Hawana lolote.Wanakuchokoza si kwa kutaka kujua kiwango chako cha kuchukulia mambo.Ni mambo yao ya kitoto na kulewa mnazi na boha tu.Kuwa nao makini.Usiseme kitu ambacho huna uhakika nacho. Tabia hawezi kupimwa kwa mtu kumdhihaki mwingine.
Na sio tje tree ni she try uwe unasoma kabla hujapost unachoandikaShe tje tree to see what falls out of it. Hapo tayari kitabia amesomeka. Wanaomuuliza wanatafuta kujua, kumhusu yeye na yeye hawakawizi, anaruka nao ile kizaizai na kiashura
Umeonaaee! Nimewatambua sanaa nawapuuzia tu.Hawana lolote.Wanakuchokoza si kwa kutaka kujua kiwango chako cha kuchukulia mambo.Ni mambo yao ya kitoto na kulewa mnazi na boha tu.Kuwa nao makini.
Ungeuliza kilichoandikwa ingenisumbua kwamba sijaeleweka, ila uzuri unaelewa kilichokusudiwa.Na sio tje tree ni she try uwe unasoma kabla hujapost unachoandika
Tabia hupimwa kwa namna nyingi kulingana na mtu anataka kuona nini kutoka kwako.Usiseme kitu ambacho huna uhakika nacho. Tabia hawezi kupimwa kwa mtu kumdhihaki mwingine.
Ungeuliza kilichoandikwa ingenisumbua kwamba sijaeleweka, ila uzuri unaelewa kilichokusudiwa.
Kotoa na hii basi uendelee kufurahi.
Nashukuru kwa kuwa umelitambua hilo.Tabia hupimwa kwa namna nyingi kulingana na mtu anataka kuona nini kutoka kwako.
Ohhhhh....😊Hii nlicomment kabla ya kule mbona