Natafuta Mume aliye serious anayetaka mke. Nina miaka 36

Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.

Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.

Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .

Ahsante.
Kumbe wanawake na nyinyi mnatafuta nilijua mnatafutwa
 
Mmmh wana kauli mbiu yao kuhusu Single mothers. Nakushauri usitafute mpenzi, walau hata mchumba mitandao ya kijamii. Kuwa makini sana. Nimemaliza
 
All roads leads to the same end. Sisi sio wageni hapa, miaka 67 saivi mdogo wangu, tushaona mengi. Story za single mothers zote zina kitu kinachofanana, matumizi mabaya ya nafasi zao kwenye kuchagua.
Aisee!Kama umepunguza miaka badala ya kuwa 76 unakosea sana.Mtu mzima mwenye watoto wa kike na kiume pengine,hawezi kuchangia hoja ki-teeneger namna hiyo.Are you that perfect,amigos?
 
Kuna Imam wa msikitini anatafuta mke wa pili, kama upo tayari nikuoze.

Tena na kazi atakupatia hapohapo msikitini.

Mcha Mungu, halewi, havuti sigara, yeye ni mkulima na Imam wa msikitini. Nikuunganishie Mkuranga hiyo, tena utakuwa jirani yangu, maana yeye ndiyo Imam wa msikitini kwetu hapa.
Hizi mada z kutafuta wenzi hazikupiti mbali!
 
Nani alikuambia nataka kuolewa mke wa pili? Mtafutie ustadhati umpelekee sawa wewe keeee.....

Unataka mabaki ya mwili wake ee!

Ikishakuvutia? Nyambafuuu
Sweetheart,
Ni kweli humu ndani kuna makwazo lakini kwa namna hii kweli..!? Mwanaume mwenye nia akiona kauli kama hizi tayari kwake ni turn-off..!!

Hao wanaokufanyia kejeli ungeachana nao tu kisha wewe ujitahidi ku focus na jambo lako naamini utafanikiwa..!

Halafu wenye nia kweli watakuja PM siyo hawa wanaojisemesha hapa kwenye comments my dear..!!
 
Sweetheart,
Ni kweli humu ndani kuna makwazo lakini kwa namna hii kweli..!? Mwanaume mwenye nia akiona kauli kama hizi tayari kwake ni turn-off..!!

Hao wanaokufanyia kejeli ungeachana nao tu kisha wewe ujitahidi ku focus na jambo lako naamini utafanikiwa..!

Halafu wenye nia kweli watakuja PM siyo hawa wanaojisemesha hapa kwenye comments my dear..!!
Okay dear nimejitahidi kuwa kimya but wanakera sanaa jamanii. Mizahaa mingi sana mpaka inakera.
 
Sweetheart,
Ni kweli humu ndani kuna makwazo lakini kwa namna hii kweli..!? Mwanaume mwenye nia akiona kauli kama hizi tayari kwake ni turn-off..!!

Hao wanaokufanyia kejeli ungeachana nao tu kisha wewe ujitahidi ku focus na jambo lako naamini utafanikiwa..!

Halafu wenye nia kweli watakuja PM siyo hawa wanaojisemesha hapa kwenye comments my dear..!!
Kweli kabisa, kanitia shaka ana majibu yenye ukakasi kidogo kanifanya niaone anatania tu hayupo serious
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom