Miss Champagne
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,312
- 6,823
Hii nlicomment kabla ya kule mbonaNini kimekukuta huko PM hadi unasisitiza "umakini"??
Hii nlicomment kabla ya kule mbonaNini kimekukuta huko PM hadi unasisitiza "umakini"??
Kuolewa mke wa pili ni heri kuliko kuwa mchepuko.Nani alikuambia nataka kuolewa mke wa pili? Mtafutie ustadhati umpelekee sawa wewe keeee.....
Kumbe wanawake na nyinyi mnatafuta nilijua mnatafutwaMimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante.
Weee kumbeeeKuolewa mke wa pili ni heri kuliko kuwa mchepuko.
Acha ukali sasa bibie!Nani alikuambia nataka kuolewa mke wa pili? Mtafutie ustadhati umpelekee sawa wewe keeee.....
Mimi nimeona bandiko lako nikaona nikufanyie heri, umri unakwenda huo.Huyo imamu wako hajawaona wanawake wanakuja hapo msikiti anaposalisha.... Akimaliza swala atoke nje fasta aangalie warembo
Wakiwa bado wadogo na wana machaguo mengi wanajibinua midomo, mwisho wa siku wanapewa mimba wanatelekezwa, alafu at 36, 4 years prior to Menopause ndo wanamiss ndoa, jau sana😂😂Miaka 36 masharti kibao, Mnapenda wenye vipato vizuri
Wewe ni mzuri??
Wewe unacho hicho kipato kizuri??
Maana utampata wa kufanana na wewe
Lakini,huyu hajaeleza ilikuaje akafikia hapo.Msiwe wakatisha tamaa namna hiyo.Wakiwa bado wadogo na wana machaguo mengi wanajibinua midomo, mwisho wa siku wanapewa mimba wanatelekezwa, alafu at 36, 4 years prior to Menopause ndo wanamiss ndoa, jau sana😂😂
All roads leads to the same end. Sisi sio wageni hapa, miaka 67 saivi mdogo wangu, tushaona mengi. Story za single mothers zote zina kitu kinachofanana, matumizi mabaya ya nafasi zao kwenye kuchagua.Lakini,huyu hajaeleza ilikuaje akafikia hapo.Msiwe wakatisha tamaa namna hiyo.
Aisee!Kama umepunguza miaka badala ya kuwa 76 unakosea sana.Mtu mzima mwenye watoto wa kike na kiume pengine,hawezi kuchangia hoja ki-teeneger namna hiyo.Are you that perfect,amigos?All roads leads to the same end. Sisi sio wageni hapa, miaka 67 saivi mdogo wangu, tushaona mengi. Story za single mothers zote zina kitu kinachofanana, matumizi mabaya ya nafasi zao kwenye kuchagua.
Hizi mada z kutafuta wenzi hazikupiti mbali!Kuna Imam wa msikitini anatafuta mke wa pili, kama upo tayari nikuoze.
Tena na kazi atakupatia hapohapo msikitini.
Mcha Mungu, halewi, havuti sigara, yeye ni mkulima na Imam wa msikitini. Nikuunganishie Mkuranga hiyo, tena utakuwa jirani yangu, maana yeye ndiyo Imam wa msikitini kwetu hapa.
Wewe ukifanikiwa ndugu yangu Abigail?Hii nlicomment kabla ya kule mbona
Nani alikuambia nataka kuolewa mke wa pili? Mtafutie ustadhati umpelekee sawa wewe keeee.....
Unataka mabaki ya mwili wake ee!
Sweetheart,Ikishakuvutia? Nyambafuuu
Okay dear nimejitahidi kuwa kimya but wanakera sanaa jamanii. Mizahaa mingi sana mpaka inakera.Sweetheart,
Ni kweli humu ndani kuna makwazo lakini kwa namna hii kweli..!? Mwanaume mwenye nia akiona kauli kama hizi tayari kwake ni turn-off..!!
Hao wanaokufanyia kejeli ungeachana nao tu kisha wewe ujitahidi ku focus na jambo lako naamini utafanikiwa..!
Halafu wenye nia kweli watakuja PM siyo hawa wanaojisemesha hapa kwenye comments my dear..!!
Kweli kabisa, kanitia shaka ana majibu yenye ukakasi kidogo kanifanya niaone anatania tu hayupo seriousSweetheart,
Ni kweli humu ndani kuna makwazo lakini kwa namna hii kweli..!? Mwanaume mwenye nia akiona kauli kama hizi tayari kwake ni turn-off..!!
Hao wanaokufanyia kejeli ungeachana nao tu kisha wewe ujitahidi ku focus na jambo lako naamini utafanikiwa..!
Halafu wenye nia kweli watakuja PM siyo hawa wanaojisemesha hapa kwenye comments my dear..!!