Natafuta mpenzi wa kike mtu mzima

Hiyo ni ID tu haina ukweli wowote tafadhi ipuuzeπŸ˜€ na isitoshe kiziwanda changu ndo kilinishawishi kujoin jf na jina kakanichagulia
Duuuh basi sawa shangazi mwenza,tukashindane vigezo huko PM😁😁
 
Mie nimezoea mchakamchaka wa vitoto vya 2000's, vinapeleka moto hatari.
Nina marioo wangu huyo wa 2003, kmmke, natarajia kumpangia chumba shangazi yako mieee.
Ananikamua, kunianika na kunikunja kwa pamoja.
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Umenikumbusha Kuna dalali insta anatangaza nyumba zake Goba huko,utasikia jamani mashangazi ki master hicho Cha kufichia kibenten chako....Hivi vinawapaga Hela hivyo vitoto au wewe ndio unakipa?
 
Abeeeee shangazi mwenzangu.
Huyu ni saizi yetu kabisa....afu Mungu hamtupi mja wake, kaja wakati mzuri sana.
Wiki hii Pasaka, keshokuwa Iddi.

Sema miaka 55,ana joto kweli huyu?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Joto hawezi kosa kikubwa anapumua,mi nilichompendea ukijumlisha hapo kwenye sikukuu pia 55 ndio age ya kustaafu....so NSSF ikisoma nitamsindikiza Tanzania postal Bank ya wastaafu kuzishughulikia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom