Natafuta Mchumba/Mume

Sina sura mbaya kama unavyofikiria.. na sio kama sikuwa na mtu kabla. Mimi nimeishi nje ya nchi kwa mda mrefu na nilikuwa na mwanaume huko ambae pia hakua mtz na dini zetu zilikuwa tofauti..familia zote mbili zilishindwa kuafiki hiyo situation ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake. Na sasa ndio nimerudi tz nkaona niendelee na maisha mapya
Kumbe elimu haijakukomboa na hutaki/huna uwezo wa kukomboa wengine.Sasa dini kuwa tofauti inahusiana nini na ndoa?Badilika.
 
Sina sura mbaya kama unavyofikiria.. na sio kama sikuwa na mtu kabla.

Mimi nimeishi nje ya nchi kwa mda mrefu na nilikuwa na mwanaume huko ambae pia hakua mtz na dini zetu zilikuwa tofauti.

Familia zote mbili zilishindwa kuafiki hiyo situation ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake. Na sasa ndio nimerudi Tanzania nikaona niendelee na maisha mapya
Oh nice...so u were living abroad. I lived abroad too so we can match up becoz we both have ample exposure and we can share some of our experiences au unasemaje mrembo.
 
Unamsaundisha kitasha?Noma kweli!
Afcoz mate am trying to woo her. She js a potential wife, sii umeona kwanza engineer alafu kashafanya kazi abroad, hawezi kuwa na mambo ya kingese ngese. Alafu 32 hana mtoto ina maanishi she is career oriented, sasa huyu ndio type yangu kila mtuu anapiga kazi tuu. Wacha nijaribu bahati yangu.
 
32 yrs, engineer, hujaolewa, huna mtoto, hapo kuna kitu, nahisi sura labda haivutiii sanaaa, ujue wanawake wenye sura ngumuuuuu wengi huwa engineers, samahani kama itakuuma, ila ukweli ndio huo,

Alafu unaweka masharti awe na degree kwenda juu, ukute na mwanamke mwenyewe sura ngumuu, shape labda haipo, hapo kuolewa utaona instagram, TV, You Tube, FB na marafiki zako. Kila la kheri.
 
32 yrs, engineer, hujaolewa, huna mtoto, hapo kuna kitu, nahisi sura labda haivutiii sanaaa, ujue wanawake wenye sura ngumuuuuu wengi huwa engineers, samahani kama itakuuma, ila ukweli ndio huo,

Alafu unaweka masharti awe na degree kwenda juu, ukute na mwanamke mwenyewe sura ngumuu, shape labda haipo, hapo kuolewa utaona instagram, TV, You Tube, FB na marafiki zako. Kila la kheri.
Kwa hiyo kwa ufupi angeandika "MIMI SITAKI KUOLEWA"?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom