0757416664
Kaza mwandiko huoHaha eeh jamn wakubwa watamsumbua mm mwenyew natafuta mtu mkubwa😅🙈nina upendo tuh
Poa poa mkuu jichanganye Sasa uoneKaza mwandiko huo
Safi hivi ndo inabidi iwePoa poa mkuu jichanganye Sasa uone
Mi nina 33 ila sina mke wala mtoto sababu ya mihangaiko nje ya nchi.32-40
Hajaoa na hana mtoto? Inawezekana.
Hana mtoto na si mlevi? Haiwezekani.
Awe na degree na kipato cha kueleweka asiwe na walau mtoto, UONGO HUO.
Anyway, kila la kheri. Allah akujalie mume mwema utimize nusu ya dini.
Kumbe elimu haijakukomboa na hutaki/huna uwezo wa kukomboa wengine.Sasa dini kuwa tofauti inahusiana nini na ndoa?Badilika.Sina sura mbaya kama unavyofikiria.. na sio kama sikuwa na mtu kabla. Mimi nimeishi nje ya nchi kwa mda mrefu na nilikuwa na mwanaume huko ambae pia hakua mtz na dini zetu zilikuwa tofauti..familia zote mbili zilishindwa kuafiki hiyo situation ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake. Na sasa ndio nimerudi tz nkaona niendelee na maisha mapya
Ninyi muonane ofisini kwa Mpwayungu awapangie vipindi.Kwa hiyo sisi maticha hututaki unataka mainjinia tu
Alafu kwani mke lazima bwana cha msingi unagegeda tuu.Mi nina 33 ila sina mke wala mtoto sababu ya mihangaiko nje ya nchi.
Oh nice...so u were living abroad. I lived abroad too so we can match up becoz we both have ample exposure and we can share some of our experiences au unasemaje mrembo.Sina sura mbaya kama unavyofikiria.. na sio kama sikuwa na mtu kabla.
Mimi nimeishi nje ya nchi kwa mda mrefu na nilikuwa na mwanaume huko ambae pia hakua mtz na dini zetu zilikuwa tofauti.
Familia zote mbili zilishindwa kuafiki hiyo situation ikabidi kila mtu aendelee na maisha yake. Na sasa ndio nimerudi Tanzania nikaona niendelee na maisha mapya
Unamsaundisha kitasha?Noma kweli!Oh nice...so u were living abroad. I lived abroad too so we can match up becoz we both have ample exposure and we can share some of our experiences au unasemaje mrembo.
Afcoz mate am trying to woo her. She js a potential wife, sii umeona kwanza engineer alafu kashafanya kazi abroad, hawezi kuwa na mambo ya kingese ngese. Alafu 32 hana mtoto ina maanishi she is career oriented, sasa huyu ndio type yangu kila mtuu anapiga kazi tuu. Wacha nijaribu bahati yangu.Unamsaundisha kitasha?Noma kweli!
sasa ote tungekua mainjinia nani angefundisha watoto wake anaotegemea kuwazaa na injinia mwenzieNinyi muonane ofisini kwa Mpwayungu awapangie vipindi.
Wanavyokuwaga na maringo wakati ngoma haijafika 30 sasa, full maringo alafu baadae ndio oh nataka mumeUmri wa 30+ huwa unawachanganya sana wanawake
Mungu akujalie kutimiza hitaji la moyo wako
Mtazaa wajukuu.Ma bad!Afcoz mate am trying to woo her. She js a potential wife, sii umeona kwanza engineer alafu kashafanya kazi abroad, hawezi kuwa na mambo ya kingese ngese. Alafu 32 hana mtoto ina maanishi she is career oriented, sasa huyu ndio type yangu kila mtuu anapiga kazi tuu. Wacha nijaribu bahati yangu.
Labda anataka wavumbue aina "mupya" ya motokaa!sasa ote tungekua mainjinia nani angefundisha watoto wake anaotegemea kuwazaa na injinia mwenzie
Kwa hiyo kwa ufupi angeandika "MIMI SITAKI KUOLEWA"?32 yrs, engineer, hujaolewa, huna mtoto, hapo kuna kitu, nahisi sura labda haivutiii sanaaa, ujue wanawake wenye sura ngumuuuuu wengi huwa engineers, samahani kama itakuuma, ila ukweli ndio huo,
Alafu unaweka masharti awe na degree kwenda juu, ukute na mwanamke mwenyewe sura ngumuu, shape labda haipo, hapo kuolewa utaona instagram, TV, You Tube, FB na marafiki zako. Kila la kheri.